sajumo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,834
- 1,056
Sasa ntafanyeje kinachojulikana wakati nchi ina watu wasiojulikana
Thanks Brother.....!!Mgodo visa hongera kwa ubunifu... Ningejua kabla hujapost hapa ningekushauri iwe post kamili, si kwasababu umenitaja la hasa bali kwa sanaa na mpangilio uliotukuka.... Big up man![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jr![]()
hahahahahLeo nimeamka naumwa ugonjwa usio julikana. Nimeenda hospital. Dr. asiejulikana amenipima vipimo visivyo julikana. Nipo hapa nasubiru majibu yasiyo julikana
Jeshi halina uwezo huo wa kukamata wasiojulikana.Hajulikani ni lini jeshi la polisi litawakamata watu wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
massai dada hajulikani alipo
Heaven on Earth hajulikani alipo
@Vuta Nikuvute hajulikani alipo
Excel hajulikani alipo
