Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,208
Nmb wami road Morogoro mjini 2017
Nikiwa kwa fundi viatu saa kumi jioni nikiwa nashona kobazi zangu za kuingia venue kesho asubuhi nilipata story zifuatazo
Stori 1
Bwana pale town Kuna tajiri mmoja ni tajiri kweli ila sasa ana mfanyakazi wake wa mda mrefu sana housigelo na anamlipa hela nzuri tu atawabadilisha wote ila yeye hambadilishi unadhani ni mpenzi wake ? No hapana
Ni hivi jamaa akienda chooni kunya anakunya pembeni yaani pembeni ya sink la choo lile ambalo unachuchumaa kama ni choo cha kukaa yeye hatokikalia atasogea pembeni huku atakunya na mfanyakazi huwa ndio anasafisha
Hizi pesa hizi zina mambo
Nitaendelea na story 2 .....
.
Nikiwa kwa fundi viatu saa kumi jioni nikiwa nashona kobazi zangu za kuingia venue kesho asubuhi nilipata story zifuatazo
Stori 1
Bwana pale town Kuna tajiri mmoja ni tajiri kweli ila sasa ana mfanyakazi wake wa mda mrefu sana housigelo na anamlipa hela nzuri tu atawabadilisha wote ila yeye hambadilishi unadhani ni mpenzi wake ? No hapana
Ni hivi jamaa akienda chooni kunya anakunya pembeni yaani pembeni ya sink la choo lile ambalo unachuchumaa kama ni choo cha kukaa yeye hatokikalia atasogea pembeni huku atakunya na mfanyakazi huwa ndio anasafisha
Hizi pesa hizi zina mambo
Nitaendelea na story 2 .....
.