Uzi wa stori za vijiweni

Uzi wa stori za vijiweni

Miaka hiyo nawinda porini kulikuwa na broo mmoja anasoma town akirudi bush alikuwa friend wangu sana kwenye story

Basi anakwambia siku kaenda kijiwe cha baiskel akakuta story ya kumuhusu shabiby na utajiri wake

Kwamba mme na mke walikubaliana baada ya kuwa na ugumu wa maisha wakaenda kwa mganga ili kupata utajiri,baada ya kufika kwa mganga wakaambiwa waende kilimani chochote watakachokutana nacho wasikipishe

Safari ikaanza kama ya nusu saa bila maruweruwe ghafla ikatokea bus kutoka mlimani na speed ya train ya umeme mme akaogopa akakimbia kupisha njia,mke akakomaa mara mpaka basi inamfikia ghafla ikapotea wakarudi kwa mganga

Mganga akawambia mwanamke ndo atakuwa mwenye mali na jamaa ikabidi aambiwe haruhusiwi kuwa nae maana kakosea masharti kwahiyo yule mama akaolewa na jamaa mwingine ambaye ndo shabiby wa sasa

Kama kuna mtu anaijua story hii anaweza ongezea nyama za vijiweni
 
Miaka hiyo nawinda porini kulikuwa na broo mmoja anasoma town akirudi bush alikuwa friend wangu sana kwenye story

Basi anakwambia siku kaenda kijiwe cha baiskel akakuta story ya kumuhusu shabiby na utajiri wake

Kwamba mme na mke walikubaliana baada ya kuwa na ugumu wa maisha wakaenda kwa mganga ili kupata utajiri,baada ya kufika kwa mganga wakaambiwa waende kilimani chochote watakachokutana nacho wasikipishe

Safari ikaanza kama ya nusu saa bila maruweruwe ghafla ikatokea bus kutoka mlimani na speed ya train ya umeme mme akaogopa akakimbia kupisha njia,mke akakomaa mara mpaka basi inamfikia ghafla ikapotea wakarudi kwa mganga

Mganga akawambia mwanamke ndo atakuwa mwenye mali na jamaa ikabidi aambiwe haruhusiwi kuwa nae maana kakosea masharti kwahiyo yule mama akaolewa na jamaa mwingine ambaye ndo shabiby wa sasa

Kama kuna mtu anaijua story hii anaweza ongezea nyama za vijiweni
Lisemwalo lipo mkuu, ngoja tusubiri michango ya wadau
 
Kuna jamaa yangu wa karibu alinipa hii,kuna ndugu yao kwenye ukoo alikua choka mbaya sana yule dogo malezi yake yalikua ya shida mpaka anakua mkubwa lakini kwa sasa maisha yamembadilikia japo watu wanalalamika bata sana kuliko kujenga maisha yake.
Ipo hivi yule dogo baada ya kufariki bi mdashi wake ndio akaja kupata siri kuhusu baba ake mana tangu udogoni hakuwai kumjua na ilikua balaa kuuliza swali hilo yani lazima achezee mimbata.
Lakini kumbe bi mdashi alishandaa maandishi yaliyompa maelekezo kuhusu baba make,dah bahati ilikua yake mana siku ile barua iliposomwa na yule aliye achiwa hakuamini masikio yake kujua moja ya watu wakubwa na tajiri nchini ndio baba ake mzazi.
Basi jamaa akaenda mpaka kwa yule tajiri akajitambulisha,yule bosi wala hakushtuka akamwambia karibu mwanangu japo jamaa alijifanya kupaniki lakini bosi akatoa sababu zake maisha yakaendelea.
Mpaka sasa jamaa anasimamia miradi ya mzee wake kwa kifupi maisha yamebadilika sana kwake lakini ubaya watu hawaoni mabadiliko zaidi ya majigambo ya kuwanunulia watu pombe ila watu wanamkumbusha kuwa familia ya huyo bosi itamkataa huko mbeleni mana ya Mungu nayo mengi mana jamaa ni black mzee wake ni coloured.
 
Kuna jamaa yangu wa karibu alinipa hii,kuna ndugu yao kwenye ukoo alikua choka mbaya sana yule dogo malezi yake yalikua ya shida mpaka anakua mkubwa lakini kwa sasa maisha yamembadilikia japo watu wanalalamika bata sana kuliko kujenga maisha yake.
Ipo hivi yule dogo baada ya kufariki bi mdashi wake ndio akaja kupata siri kuhusu baba ake mana tangu udogoni hakuwai kumjua na ilikua balaa kuuliza swali hilo yani lazima achezee mimbata.
Lakini kumbe bi mdashi alishandaa maandishi yaliyompa maelekezo kuhusu baba make,dah bahati ilikua yake mana siku ile barua iliposomwa na yule aliye achiwa hakuamini masikio yake kujua moja ya watu wakubwa na tajiri nchini ndio baba ake mzazi.
Basi jamaa akaenda mpaka kwa yule tajiri akajitambulisha,yule bosi wala hakushtuka akamwambia karibu mwanangu japo jamaa alijifanya kupaniki lakini bosi akatoa sababu zake maisha yakaendelea.
Mpaka sasa jamaa anasimamia miradi ya mzee wake kwa kifupi maisha yamebadilika sana kwake lakini ubaya watu hawaoni mabadiliko zaidi ya majigambo ya kuwanunulia watu pombe ila watu wanamkumbusha kuwa familia ya huyo bosi itamkataa huko mbeleni mana ya Mungu nayo mengi mana jamaa ni black mzee wake ni coloured.
Hapo inabidi atulize kichwa, afanye ya maana
 
Wakati tunapika Sambusa za Nyama na shoga zangu, mmoja akatupa story ya Mama mmoja na Mumewe,
Basi Mume mtu alikua anachepuka na Binti mmoja akampangia nyumba na gari ya kutembelea, bibiye kusikia hayo akatuma Wahuni wamfanyie vitendo vya kudhalilisha yule binti, wahuni walimteka wakamfanyia mambo machafu huku wanamrekodi, binti aliporudi nyumbani akampigia simu Mwenza wake na kumueleza alichofanyiwa na watu hao wasiojulikana kisha akajitoa uhai,

Ilikua ni huzuni kubwa kwa Mzee yule, alichanganyikiwa, aliomba kustaafu, akawa mtu wa Pombe na kulala Bar, Bibiye nafsi ikamsuta, Roho ikamuuma, badala ya kujenga alizidi kubomoa, basi na yeye akatafuta faraja nje, akaanza kuchepuka na Kijana wa shoka, Penzi halikufika Mbali yule Kijana akamfia kifuani wakiwa Hotelin, kumbe alikua ana tatizo la Moyo,

Mnaweza kuimagine Mtu anakufa ukiwa nae chumbani, Kitandani, Uchi,
Bibiye akapata ujasiri, akavaa haraka haraka na kumfunika Marehemu kisha akatoroka na kurudi nyumbani kwake akiamini ameshinda hadi siku ya pili Polisi walipogonga kwenye mlango wao na kumwambia yupo chini ya Ulinzi kwa kosa la Mauaji,
Cameras za Hotelini zilimuumbua,

Wakati Kesi inaendelea na Mumewe alipoanza kumlaumu kwa tendo la kuchepuka hadi kuua ndipo na yeye akatoa ya Moyoni kwa kuelezea kukosa uaminifu kwa Mumewe kukasababisha yeye afanye kitendo cha Kinyama kwa Binti yule hadi kupelekea Umauti.

Nakumbuka nilibaki mdomo wazi hadi Sambusa nilizokua nachoma zikaungua .
Bado mnapika Sambusa za Nyama na shoga zako au mlishaacha?
 
Nimehadithiwa:

Kuna wapemba maeneo ya posta walikuwa safarini ila walikuwa wamebeba hela nyingi sana kwa bahati mbaya zile hela zikaibiwa zimeibiwa vipi mimi sijui nimehadithiwa tu basi wakatangaza wamepoteza hela na aliyeziokota azirudishe.

Basi zikapita siku tatu kimyaa wakatoa week moja nyingine zirudishwe la sivyo watafanya kitu kibaya sana basi week ikapita hazikurudishwa jamaa wakapanda boat wakarudi zanzibar,

wakaenda sehemu moja inaitwa tumbatu huko
Kumbe jamaa waliookota zile hela walikuwa watu wa chamazi wakaenda kujenga nyumba na nyingine kugawa kwa ndugu maana zilikuwa nyingi sana basi unaambiwa wakajenga nyumba wakahamia.

wakahamia wakaanza maisha baada ya kuhamia tu wakaanza kufariki mmoja mmoja kuanzia waliokuwa wanaishi pale nyumbani mpaka ndugu wote waliotumia zile hela yaani arobaini haijafika msiba mwingine unatokea basi nasikia walipona wawili tu mmoja alikuwa nje ya nchi na mwingine alikuwa mkoa mwingine na hiyo nyumba mpaka Leo haikaliki ina mauza mauza nyumba yenyewe inaitwa,

NYUMBA NYEUPE IPO CHAMAZI

Anayeijua hii story ajazie nyama maana mi nimesikia juu juu tu.
 
Nimehadithiwa:

Kuna wapemba maeneo ya posta walikuwa safarini ila walikuwa wamebeba hela nyingi sana kwa bahati mbaya zile hela zikaibiwa zimeibiwa vipi mimi sijui nimehadithiwa tu basi wakatangaza wamepoteza hela na aliyeziokota azirudishe.

Basi zikapita siku tatu kimyaa wakatoa week moja nyingine zirudishwe la sivyo watafanya kitu kibaya sana basi week ikapita hazikurudishwa jamaa wakapanda boat wakarudi zanzibar,

wakaenda sehemu moja inaitwa tumbatu huko
Kumbe jamaa waliookota zile hela walikuwa watu wa chamazi wakaenda kujenga nyumba na nyingine kugawa kwa ndugu maana zilikuwa nyingi sana basi unaambiwa wakajenga nyumba wakahamia.

wakahamia wakaanza maisha baada ya kuhamia tu wakaanza kufariki mmoja mmoja kuanzia waliokuwa wanaishi pale nyumbani mpaka ndugu wote waliotumia zile hela yaani arobaini haijafika msiba mwingine unatokea basi nasikia walipona wawili tu mmoja alikuwa nje ya nchi na mwingine alikuwa mkoa mwingine na hiyo nyumba mpaka Leo haikaliki ina mauza mauza nyumba yenyewe inaitwa,

NYUMBA NYEUPE IPO CHAMAZI

Anayeijua hii story ajazie nyama maana mi nimesikia juu juu tu.
Lisemwalo lipo, ngoja tusubiri wajuzi
 
Kuna jamaa yangu wa karibu alinipa hii,kuna ndugu yao kwenye ukoo alikua choka mbaya sana yule dogo malezi yake yalikua ya shida mpaka anakua mkubwa lakini kwa sasa maisha yamembadilikia japo watu wanalalamika bata sana kuliko kujenga maisha yake.
Ipo hivi yule dogo baada ya kufariki bi mdashi wake ndio akaja kupata siri kuhusu baba ake mana tangu udogoni hakuwai kumjua na ilikua balaa kuuliza swali hilo yani lazima achezee mimbata.
Lakini kumbe bi mdashi alishandaa maandishi yaliyompa maelekezo kuhusu baba make,dah bahati ilikua yake mana siku ile barua iliposomwa na yule aliye achiwa hakuamini masikio yake kujua moja ya watu wakubwa na tajiri nchini ndio baba ake mzazi.
Basi jamaa akaenda mpaka kwa yule tajiri akajitambulisha,yule bosi wala hakushtuka akamwambia karibu mwanangu japo jamaa alijifanya kupaniki lakini bosi akatoa sababu zake maisha yakaendelea.
Mpaka sasa jamaa anasimamia miradi ya mzee wake kwa kifupi maisha yamebadilika sana kwake lakini ubaya watu hawaoni mabadiliko zaidi ya majigambo ya kuwanunulia watu pombe ila watu wanamkumbusha kuwa familia ya huyo bosi itamkataa huko mbeleni mana ya Mungu nayo mengi mana jamaa ni black mzee wake ni coloured.
Kahawa zingine Zinatia hasira sana!
 
Nimehadithiwa:

Kuna wapemba maeneo ya posta walikuwa safarini ila walikuwa wamebeba hela nyingi sana kwa bahati mbaya zile hela zikaibiwa zimeibiwa vipi mimi sijui nimehadithiwa tu basi wakatangaza wamepoteza hela na aliyeziokota azirudishe.

Basi zikapita siku tatu kimyaa wakatoa week moja nyingine zirudishwe la sivyo watafanya kitu kibaya sana basi week ikapita hazikurudishwa jamaa wakapanda boat wakarudi zanzibar,

wakaenda sehemu moja inaitwa tumbatu huko
Kumbe jamaa waliookota zile hela walikuwa watu wa chamazi wakaenda kujenga nyumba na nyingine kugawa kwa ndugu maana zilikuwa nyingi sana basi unaambiwa wakajenga nyumba wakahamia.

wakahamia wakaanza maisha baada ya kuhamia tu wakaanza kufariki mmoja mmoja kuanzia waliokuwa wanaishi pale nyumbani mpaka ndugu wote waliotumia zile hela yaani arobaini haijafika msiba mwingine unatokea basi nasikia walipona wawili tu mmoja alikuwa nje ya nchi na mwingine alikuwa mkoa mwingine na hiyo nyumba mpaka Leo haikaliki ina mauza mauza nyumba yenyewe inaitwa,

NYUMBA NYEUPE IPO CHAMAZI

Anayeijua hii story ajazie nyama maana mi nimesikia juu juu tu.
Hii Safi sana,Tunataka kama hizi....
 
Nimehadithiwa:

Kuna wapemba maeneo ya posta walikuwa safarini ila walikuwa wamebeba hela nyingi sana kwa bahati mbaya zile hela zikaibiwa zimeibiwa vipi mimi sijui nimehadithiwa tu basi wakatangaza wamepoteza hela na aliyeziokota azirudishe.

Basi zikapita siku tatu kimyaa wakatoa week moja nyingine zirudishwe la sivyo watafanya kitu kibaya sana basi week ikapita hazikurudishwa jamaa wakapanda boat wakarudi zanzibar,

wakaenda sehemu moja inaitwa tumbatu huko
Kumbe jamaa waliookota zile hela walikuwa watu wa chamazi wakaenda kujenga nyumba na nyingine kugawa kwa ndugu maana zilikuwa nyingi sana basi unaambiwa wakajenga nyumba wakahamia.

wakahamia wakaanza maisha baada ya kuhamia tu wakaanza kufariki mmoja mmoja kuanzia waliokuwa wanaishi pale nyumbani mpaka ndugu wote waliotumia zile hela yaani arobaini haijafika msiba mwingine unatokea basi nasikia walipona wawili tu mmoja alikuwa nje ya nchi na mwingine alikuwa mkoa mwingine na hiyo nyumba mpaka Leo haikaliki ina mauza mauza nyumba yenyewe inaitwa,

NYUMBA NYEUPE IPO CHAMAZI

Anayeijua hii story ajazie nyama maana mi nimesikia juu juu tu.
Nyumba nyeupe naijua ila story yake ndo sikuipata
 
Nilihadithiwa na jamaa yangu. Maeneo ya Buguruni kuna jamaa mmoja hivi alitokea maeneo ya Pwani kama sikosei Kisarawe. Mchizi alikuwa choka mbaya alipofika mjini akahustle sana mpaka akafanikiwa akawa tajiri.
Akaenda kijijini kwao kufanya sherehe kama shukrani ya mambo kumuendea vizuri ila yeye aliita kuzika umaskini. Alichokifanya ni kuchimba kama kaburi na kufukia maharage, mahindi, dagaa and the likes. Maana yake ni kuwa hivyo ni vyakula vya kimaskini smh
Akarudi mjini baada ya muda mambo yakaanza kumuendea kombo, kimoja kimoja kikaanza kupotea mpaka akawa apeche alolo kama alivyokuja mjini!!
 
Back
Top Bottom