Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,076
- 2,161
Miaka hiyo nawinda porini kulikuwa na broo mmoja anasoma town akirudi bush alikuwa friend wangu sana kwenye story
Basi anakwambia siku kaenda kijiwe cha baiskel akakuta story ya kumuhusu shabiby na utajiri wake
Kwamba mme na mke walikubaliana baada ya kuwa na ugumu wa maisha wakaenda kwa mganga ili kupata utajiri,baada ya kufika kwa mganga wakaambiwa waende kilimani chochote watakachokutana nacho wasikipishe
Safari ikaanza kama ya nusu saa bila maruweruwe ghafla ikatokea bus kutoka mlimani na speed ya train ya umeme mme akaogopa akakimbia kupisha njia,mke akakomaa mara mpaka basi inamfikia ghafla ikapotea wakarudi kwa mganga
Mganga akawambia mwanamke ndo atakuwa mwenye mali na jamaa ikabidi aambiwe haruhusiwi kuwa nae maana kakosea masharti kwahiyo yule mama akaolewa na jamaa mwingine ambaye ndo shabiby wa sasa
Kama kuna mtu anaijua story hii anaweza ongezea nyama za vijiweni
Basi anakwambia siku kaenda kijiwe cha baiskel akakuta story ya kumuhusu shabiby na utajiri wake
Kwamba mme na mke walikubaliana baada ya kuwa na ugumu wa maisha wakaenda kwa mganga ili kupata utajiri,baada ya kufika kwa mganga wakaambiwa waende kilimani chochote watakachokutana nacho wasikipishe
Safari ikaanza kama ya nusu saa bila maruweruwe ghafla ikatokea bus kutoka mlimani na speed ya train ya umeme mme akaogopa akakimbia kupisha njia,mke akakomaa mara mpaka basi inamfikia ghafla ikapotea wakarudi kwa mganga
Mganga akawambia mwanamke ndo atakuwa mwenye mali na jamaa ikabidi aambiwe haruhusiwi kuwa nae maana kakosea masharti kwahiyo yule mama akaolewa na jamaa mwingine ambaye ndo shabiby wa sasa
Kama kuna mtu anaijua story hii anaweza ongezea nyama za vijiweni
.