Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,890
- 18,836
Tena unanunua msitu kabisa wa kupupia.Huyo alikuwa muogamuoga Sana!Kwani watu walijua ana poop porini ndio Nini Sasa?wacha wajue
Tena unanunua msitu kabisa wa kupupia.Huyo alikuwa muogamuoga Sana!Kwani watu walijua ana poop porini ndio Nini Sasa?wacha wajue
MAZEE WAMEZIMA TAA....Kuna jamaa alikuwa na kakikundi cha u koz men hakuna kalio la mtu wasilolijua kule mwananyamala kisiwani. Akahamia jamaa mkewe anasondomoko balaa wahuni wakamweka radani lazima wal
ikague kalio.
Sasa jamaa ana jicho moja tu moja lilikufa zamani sana,waliposeti mpango siku hiyo mama katoka zake kuoga anajifuta kwa pozi kumbe dirishani kuna watu wanamchora wameshadindi mbaya wanajibweda senema ya bure.sasa wakati wanachungulia kumbe mumewe anarudi kazini mida ya usiku. Kaona jamaa wamejazana dirishani kwake kuchunguza kwa kuvizia akagundua wanamchungulia wifee.
Akaondoka kinyonge akammwondoa wife pale karibu na darubin wahuni nje bila kujua wamehujumiwa wanasema kesho tutaendelea wakiambiana "masela mungu anafinyanga jamani. Tahamaki kesho imefika kumbe jamaa kashaandaa supoku ya besikeli anavizia na akahakikisha wife anajiachia haswa huku yeye kajibanza kikonani kwa dirisha.
Adui chongo akasogea kama ada ile anaseti jicho aone utupu mnono GHAFLA AKASEMA MAZEE WAMEZIMA TAA,TAHAMAKI KIZA KIMEKUJA NA MAUMIVU.MASIKIO YANAMSIKILIZISHA NYAYO ZA WENZIE ZINAKIMBIA. kumbe kilichozimwa ni jicho sio taa.




CHAI....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah ufunguliwe na uzi wa stori za wala mirungi, ni waongo balaaa, MF: Vinie baite wa Kenya ni muongo kinyama
Mahusiano uangamiza watu, muhimu ni kuwa makini tu na kuchukua tahadhariOgopa sana mali za watu, huu usia huwa napewa kila leo na mzee wangu
Hapo ndipo alipokoseaTena unanunua msitu kabisa wa kupupia.
Nenda ilipo Baa ya kulesi uliza saidi kapu la nyege. Alipiga kozi mpaka wahuni wenzie wanaokula nao kozi wakampa mchongo wa mama yake kwenye Baa ya kamanyola tahamaki kakuta mamake analiwa, tena anatobolewa karoti ya jichoni.MAZEE WAMEZIMA TAA....CHAI....
OVA![]()
Kabisaa,Ni maarufuku mtu kuingiaTena unanunua msitu kabisa wa kupupia.
Wakachekana.KIJIWE CHA MTAA
Majambazi wawili walipanga kwenda kuiba kwa tajiri mmoja mtaa wa saba. Walipofika katika hiyo nyumba ya tajiri, jambazi mmoja akamwambia jambazi mwenzi, tuchokonoe huu ukuta ili tuweze kupitisha mkono tufungue kitasa kwa ndani.
Jambazi wa pili akasema sawa; jambazi wa kwanza akachukua nondo na kuanza kutoboa ukuta. Wakati huo wanafanya hayo yote, mle ndani mlinzi wa tajiri alikuwa anawasikiliza tu, akachukua panga kali akalishika mkononi kwa ajili ya kupambana.
Yule jambazi wa kwanza baada ya kumaliza kutoboa ukuta, akaingiza mkono mpaka kwenye kitasa cha ndani akaanza kukitikisa ili kifunguke; katika kukitikisa kile kitasa ,yule mlinzi wa tajiri akaukamata ule mkono wa jambazi na kuuvuta ndani zaidi na kukata kiganja cha mkono wa jambazi. Jambazi hakupiga kelele, akajikaza na kutoa mkono haraka haraka na kuuficha nyuma ya mgongo wake.
Jambazi wa pili akamuuliza mwenzie, vipi umefanikisha kufungua kitasa? Jambazi akamjibu, bado ni kigumu sana, ebu jaribu na wewe kukilegeza. Jambazi wa pili naye akaingiza mkono mpaka kwenye kitasa na kuanza kukitikisa.Mara mkono wake ukadakwa na mlinzi wa tajiri, naye akakatwa kiganja. Jambazi wa pili akawa anapiga makelele kutokana na maumivu aliyoyapata.
Ndipo jambazi wa pili akamwambia jambazi wa kwanza, nimekatwa kiganja cha mkono ebu ona nilivyo. Naye jambazi wa kwanza akamuonyesha mwenzie mkono na kumuambia, hata mimi nimekatwa kiganja, ebu ona. Wote wakawa wanaonyeshana mikono yao ilivyokatwa.
Wote wakawa wanachekana, ikabidi waondoke; na walivyopona wakaenda kuwa omba omba huko mtaani.
Wote hawana viganja vya mkono wa kulia😂😂😂Wakachekana.
akili mtu wanguDaaah ufunguliwe na uzi wa stori za wala mirungi, ni waongo balaaa, MF: Vinie baite wa Kenya ni muongo kinyama
story za jabaDaaah ufunguliwe na uzi wa stori za wala mirungi, ni waongo balaaa, MF: Vinie baite wa Kenya ni muongo kinyama
kwamba jambazi wa pili hakuona hata damuKIJIWE CHA MTAA
Majambazi wawili walipanga kwenda kuiba kwa tajiri mmoja mtaa wa saba. Walipofika katika hiyo nyumba ya tajiri, jambazi mmoja akamwambia jambazi mwenzi, tuchokonoe huu ukuta ili tuweze kupitisha mkono tufungue kitasa kwa ndani.
Jambazi wa pili akasema sawa; jambazi wa kwanza akachukua nondo na kuanza kutoboa ukuta. Wakati huo wanafanya hayo yote, mle ndani mlinzi wa tajiri alikuwa anawasikiliza tu, akachukua panga kali akalishika mkononi kwa ajili ya kupambana.
Yule jambazi wa kwanza baada ya kumaliza kutoboa ukuta, akaingiza mkono mpaka kwenye kitasa cha ndani akaanza kukitikisa ili kifunguke; katika kukitikisa kile kitasa ,yule mlinzi wa tajiri akaukamata ule mkono wa jambazi na kuuvuta ndani zaidi na kukata kiganja cha mkono wa jambazi. Jambazi hakupiga kelele, akajikaza na kutoa mkono haraka haraka na kuuficha nyuma ya mgongo wake.
Jambazi wa pili akamuuliza mwenzie, vipi umefanikisha kufungua kitasa? Jambazi akamjibu, bado ni kigumu sana, ebu jaribu na wewe kukilegeza. Jambazi wa pili naye akaingiza mkono mpaka kwenye kitasa na kuanza kukitikisa.Mara mkono wake ukadakwa na mlinzi wa tajiri, naye akakatwa kiganja. Jambazi wa pili akawa anapiga makelele kutokana na maumivu aliyoyapata.
Ndipo jambazi wa pili akamwambia jambazi wa kwanza, nimekatwa kiganja cha mkono ebu ona nilivyo. Naye jambazi wa kwanza akamuonyesha mwenzie mkono na kumuambia, hata mimi nimekatwa kiganja, ebu ona. Wote wakawa wanaonyeshana mikono yao ilivyokatwa.
Wote wakawa wanachekana, ikabidi waondoke; na walivyopona wakaenda kuwa omba omba huko mtaani.
