kazi yenuUbuntu botho ! Imekuwa dili kubwa sana hapa bongo kwa takribani wiki sasa ! Trendi Iko juu sana na wanahaha kuutafuta madukani ,ingia mtaani watu wamependeza na hii jezi Kali kabisa afrika mashariki na kati
Washabiki wa Yanga wanunue jezi za Mamelod ili iweje?Alafu Cha ajabu wanunuzi wakubwa toka mwanzo ni Yanga! Mwana Simba kindaki ndaki hawezi kununua jezi linalofanana na la Yanga!
Unaambiwa game imepaniwa kuangaliwa na mataifa mbalimbali
Hawa jamaa sijui wanawaza niniWashabiki wa Yanga wanunue jezi za Mamelod ili iweje?
YametokeaHizo jezi kama Simba akifungwa kesho, bila shaka hizo jezi zitakuwa nzito sana kuvalika. Mechi ya Yanga isiwashughulishe mkasahau jambo lenu ndilo linalotangulia.
The man who saw tomorrow…Hizo jezi kama Simba akifungwa kesho, bila shaka hizo jezi zitakuwa nzito sana kuvalika. Mechi ya Yanga isiwashughulishe mkasahau jambo lenu ndilo linalotangulia.
Hahahahaha...hivi leo watazivaa kweli hao mbumbumbu?Hizo jezi kama Simba akifungwa kesho, bila shaka hizo jezi zitakuwa nzito sana kuvalika. Mechi ya Yanga isiwashughulishe mkasahau jambo lenu ndilo linalotangulia.
Unauliza hawa jamaa huwa ni dishi Kwa sasa faraja yao ni mamelody nae akikadwa si ajabu ukasikia wamejinyoga.Hahahahaha...hivi leo watazivaa kweli hao mbumbumbu?
Mkasahau kama mnacheza na Mwarabu.Ubuntu botho ! Imekuwa dili kubwa sana hapa bongo kwa takribani wiki sasa ! Trendi Iko juu sana na wanahaha kuutafuta madukani ,ingia mtaani watu wamependeza na hii jezi Kali kabisa afrika mashariki na kati