Uzi maalumu wa kuelezea mafanikio uliyoyapata 2023 na mipango ya 2024

The Initiator huru

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
1,531
1,735
Karibuni tuelezee mafanikio tuliyoyapata 2023 na mipango ya 2024.Binafsi 2023 nimetoka kapa ila namshukuru Mungu. 2024 mipango yangu ni kuanzisha biashara, kununua kiwanja/viwanja, pamoja na kununua gari hata kama ni old school.
Ee Mwenyezi Mungu unisaidie
 
Back
Top Bottom