Vifunshio vyake vinapatikana wapi mkuu. Baada ya kumaliza kuzalisha ni vyema nikajua vifungashio wap hupatikanaTUNAENDELEA NA MASHINE ZA CHAKI
mashine za kutengeneza chaki hizi zipo aina mbili ya umeme au ya mkono au manual
Mashine ya mkono au manual ni kuanzia tundu 100 hii ni million moja na laki mbili tu
Na hapa inategemea iwekewe stand au kawaida
Na kadri inazidi kuwa na matundu mengi ndipo mfumo wa umeme unahitajika maana itakuwa na mixer yake karibu 0763542515View attachment 1675037View attachment 1675039
Naunga mkono hoja.Vifunshio vyake vinapatikana wapi mkuu. Baada ya kumaliza kuzalisha ni vyema nikajua vifungashio wap hupatikana
Bei gani?Mashine ya kukausha vitu mbalimbali kama dagaa mboga mboga View attachment 1749529View attachment 1749530View attachment 1749531View attachment 1749532
Ni hydrolic?Mashine za Tofali kuanzia nne mpaka nane kwa wakati mmoja pia tunazitengeneza
Hizi kidogo ni tofauti katika mfumo wa uendeshaji zinatumia hydraulic press kwa hiyo ni rahisi sana unapoitumia
Tofali nne million kumi na tatu (13)
Na tofali nane million 28
KaribuView attachment 1674758
Hujaelezea mashine ya kukausha dagaaa Wala Bei yake hujaweka. Pia hujaweka kabsa mashine ya kukamua alizeti.Subscribed