Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Mashine ya juisi ya miwa zenye kibanda huondoki na miwa yako unaifungia hizi tunazitengeneza pia kwa million mbili na laki mbili tu
IMG-20200401-WA0000.jpeg
 
TUNAENDELEA NA MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI


Mashine za kupukukuchua mahindi inayotumia mafuta million mbili na laki tano ikiwa na engine million tatu na za kutumia umeme million moja na laki saba tu
tapatalk_1608187758714.jpeg
 
Nasubiri mashine ya kuponda mawe kufikia size ya kokoto za lami. Ikielezea inapokea mawe max size gani, input/output per hour. Nikiridhika ni serious business
Usijali mkuu tutaielezea hapa hapa fuatilia huu Uzi
Lolote zaidi call/sms/WhatsApp 0763542515
 
Mashine za kusaga za kibiashara hapa unaanzia namba 50 hii ina uwezo wa kusaga kilo 500 kwa kwa saa
Tunazitengeneza kwa million mbili na laki saba ( 2.7m)

Namba 75 million tatu na laki Tisa
Na namba 100 million tano View attachment 1674791View attachment 1674792
Mkuu Hongera Sana kwa kutushirikisha Shughuli za watanzania Wenzetu wajasiriamali.. Naomba kuuliza Hizi za kusaga Bei Ni pamoja na Mota???
 
Mkuu Hongera Sana kwa kutushirikisha Shughuli za watanzania Wenzetu wajasiriamali.. Naomba kuuliza Hizi za kusaga Bei Ni pamoja na Mota???
Ndio mkuu hizi mashine tunazitengeneza kwa sasa ni kulipia na kuchukua zipo tayari stock
Hapo inakuwa ipo complete ndugu bado umeme tu



Pia upande wa umeme tutashauriana kwa mgeni katika uwekezaji mashine za kusaga na kukoboa
IMG_20201019_100107.jpeg
IMG_20201019_100149.jpeg
 
TUNAENDELEA NA PAVING MASHINE
HIZI ZIPO AINA MBILI ZA MKONO NA UMEME


ZA MKONO NI LAKI NANE TU UNAIPATA IKIWA NA MAUA MANNE AU MAWILI MAKUBWA UTACHAGUA


NA UMEME HIZI NI MILLION TATU NA LAKI NANE
20210112_083413-BlendCollage.jpeg
20210112_083347-BlendCollage.jpeg
20210112_083245-BlendCollage.jpeg
20210112_083722-BlendCollage.jpeg
 
Mashine za interlocking na Hydra block ni znahtajika na vibao vyake??,,,huwa nnadream hii kitu wakuu???...maana nlitakaga kunnua bambam Bei ya vibao ilinikata stim
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom