Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,070
Sexsomnia ni tatizo mojawapo katika masuala ya Usingizi (Sleep Disorders) ambapo mtu hujihusisha kwa kufanya vitendo mbalimbali vya ngono kama kujichua (Punyeto), Kujamiiana n.k akiwa usingizi na watu ambao hawakumbuki akimka!