.Wanasayansi wanasema kuwa kionzi ya simu ni hatari sana wa afya ya ubongo ya mwanadamu ingawa wengi wetu tumekuwa na tabia ya kuweka simu karibu na kivchwa kabisa wakati wa kulala, unashauri kuzima simu yako na kuaa nayo pembeni kutoka na usalama wa afya yako.
.Wanasayansi wanashauri kujitahidi kukumbuka kuuweka mwili wako kuwa na uhuru wakati wa kulaa, kitu chochote chenye kuufanya mwili wako kujihisi umebanwa sio kizuri, saa ya mkononi pia inaweza kuleta madhara sana kama utazoea kulala nayo.
Asali husaidia kutunza unyevunyevu katika ngozi, na pia ina kiwango kikubwa cha sukrai na asidi amabyo uweza kuzuia vijidudu ambavy vianweza kuathiri ngozi yako.Hutengenezwa na nyuki waliokusanya viambata vingi vya asili kutoka katika mimea mbalimbali.
Mayai pia ni mazuri kwa afya ya ngozi,kiini chake huwa na vitamini A na B,Ilhali ute wake mweupe una protini nyingi sana ambazo huwa ni nzuri kwa afya ya ngozi.husaidia ngozi kuwa nyororona yenye kungaa zaidi.pia inasaidia ngozi kujikinga na mionzi ya jua.
Matunda hususani machungwa na malimao,matunda haya utengeneza collagen kwa ngozi ya mwili wa binadamu ambayo husaidia katika utengenezaji wa ngozi.Vitamins hivi husaidia sana katika kuondoa mikunjo na vivimbe katika ngozi za mwanadamu.
Mboga za majaini husaidia sana sio kwa ngozi tu bali kwa mwili wote kwa ujumla kwa sababu vinakuwa vimesheheni virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.Mboga za majani zina virutubisho vyenye kusaidia kuondoa seli zilizokufa na kuzalisha seli mpya katika ngozi.
Vyakula vya baharini vingi vina Zinc na Omega 3 ambazo ni muhimu kwa siha ya ngozi.Omega 3 husaidia kukakamaa kwa ngozi na ukavu wa ngozi yako, kupunguza uvimbe na kukunjamana kwa ngozi.Lakini pia inasaidia kufanya mzunguko wa damu uwende vizuri ivyo kuleta ngozi nzuri.
Mboga za majaini husaidia sana sio kwa ngozi tu bali kwa mwili wote kwa ujumla kwa sababu vinakuwa vimesheheni virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.Mboga za majani zina virutubisho vyenye kusaidia kuondoa seli zilizokufa na kuzalisha seli mpya katika ngozi.
Vyakula vya baharini vingi vina Zinc na Omega 3 ambazo ni muhimu kwa siha ya ngozi.Omega 3 husaidia kukakamaa kwa ngozi na ukavu wa ngozi yako, kupunguza uvimbe na kukunjamana kwa ngozi.Lakini pia inasaidia kufanya mzunguko wa damu uwende vizuri ivyo kuleta ngozi nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.