moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,867
- 691,496
Kuacha kutangaza biashara yako ili uweke akiba ya pesa ni sawa na kusimamisha muda ili kutunza muda," Henry Ford.
"Biashara bila matangazo ni sawa na kumkonyeza mwanamke Gizani"
Kuacha kutangaza biashara yako ili uweke akiba ya pesa ni sawa na kusimamisha muda ili kutunza muda," Henry Ford.
Tupo hai na tuna afya njemaUzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
Ndiyo maana huwa nakusiafia sana wakati haupo ili kuepuka dhana ya aina hii"Usihangaike na sifa unazopewa wakati upo sehemu hiyo, Sifa za kweli ni zile ambazo unapewa wakati mwenyewe haupo, hizo zingine ni kelele za wapiga debe." Ruge Mutahaba
Kabisa yaaniustadhi moud busara zake zipo kwako pale unaposhambulia watu kwa nia ya kujitetea mwambie siku moja moja awe anakutetea na kuelewa lengo lako
Wakati unabishana na mtu cha kwanza soma busara yake, ukigundua hana busara hata ukimpeleka kwa hakimu ataona umempa rushwa.ustadhi moud busara zake zipo kwako pale unaposhambulia watu kwa nia ya kujitetea mwambie siku moja moja awe anakutetea na kuelewa lengo lako
Sawa bro, nmekuelewa sasa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimechekaaa ustadhi banaWakati unabishana na mtu cha kwanza soma busara yake, ukigundua hana busara hata ukimpeleka kwa hakimu ataona umempa rushwa.
Nikigundua unabishana na mtu wa aina hiyo sitaweka neno la utetezi.
Utetezi muhimu kwako ni kukupa ushauri ujiondoe kwenye mabishano.
😂😂😂😂😂😂😂asanteNdiyo maana huwa nakusiafia sana wakati haupo ili kuepuka dhana ya aina hii
😂😂😂😂😂😂😂😂
"Biashara bila matangazo ni sawa na kumkonyeza mwanamke Gizani"
Kamari,ujambazi, udokozi, utapeli, utajiri wa kichawi, misukule, vibwengo,vizombi nk, nk, nk.Njia ya mkato itakuchelewesha kufanikiwa.
maduka sabapoa kijana wa maduka saba
huwa natumia hio FE click hapo kwenye FE utakua umetoa huo unjano kutoka hapo p2p mpaka kwenye FE kisha bonyeza katikati kama unaplay ikishaanza kuplay kuna kimshale cha kudownload click hapo itaanza kudownload
njia ya pili ukishabonyesha kwenye FE scroll utaona neno click here to download utaifata mpaka mwisho utafanikiwa kudownload japo njia hii itahitaji ukae na karatasi na kalamu kuandika namba za episode. so njia nzuri ni hio ya juu
Same kwa watumiaji wa mirungi wa Namanga, wanaenda kusaga mirungi Kenya, then wanakuwa andasi, wakishamaliza wanatema halaf wanarudi Bongo, askari wa mpakani wanaangalia
Hahaha hizi mbinu duh 😀😀Same kwa watumiaji wa mirungi wa Namanga, wanaenda kusaga mirungi Kenya, then wanakuwa andasi, wakishamaliza wanatema halaf wanarudi Bongo, askari wa mpakani wanaangalia