moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,868
- 691,612
Mashaallah
kama ni kweli itanibidi nikupe heshima yako, umemzidi baba yangu kwa takribani miaka 17.Mwaka 1972 nina miaka 28 dah!
lilikuwa ni kosa la kiufundi pindi hasira na fitina zinapokwenda zake ila unakuwa ni uamuzi sahihi kwa nyakati zile kwa sababu kila mmoja alikuwa anapigania uhai wake, ushawishi wake kisiasa na tonge yake.Kwakweli tukio hilo nimeliona,
ingawa nilikuwa mdogo lakini lingali linapita akilini mwangu.
Nilimshangaa sana Maalim kwa kosa lile la kiufundi ambalo amefanya wakati ule.
Nadhani mpaka anafariki lazima naye alikuwa anajutia