zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
NumbisaNia ya kusema hivyo nilikuwa sikutongozi nilikuwa nafikiria Quote nimefanikiwa kupata hizi
"Love is so funny sometimes,
You love people who never/won't love you,But then you hate people who truly love you.You can't love everyone"
"Watu wema huchelewa kupata wapenzi lakini wale watukutu hupata kwa haraka Sana"
"Its possible to turn friendship into love but its not possible to turn love into friendship"
"Kosa kubwa wanalofanya wanawake ni kwamba huwapenda wale wasio na mapenzi ya kweli na kuwakataa wale wasio na mapenzi ya kweli"
"Sitashangaa Katika dunia iliyo na wanawake wengi nikaoa mwanamke mmoja kwasababu waaminifu na wenye true love wamebaki wachache mno"