The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,965
- 45,350
Shangazi na Aahjusii muwe na siku njemaa
anyeongShangazi na Aahjusii muwe na siku njemaa
Mbona profesa ameweka kengeza...?
The don himself, heshima yako bhagheshiii
Aaii Jamani mbeba mapacha wangu, usinifanyie hivyo ndio maana nimejiwahi kabla ya adhabu 😌Prof. Mpigaji huyu. Ni wale Nyerere alikuwa akiwaita wanasiasa malaya malaya....
The Don himuselfu umemtupa hivi dah! Ngoja nakulia taimingi. We Ngoja tu
Nimeipenda hiyo.Je wajua kuna shule yenye wanafunzi 55,000? (Eneo la msasani Kinindoni Dar es salaam wanaishi watu 48,920). City Montessori School (CMS) iliyopo India ndio shule yenye wanafunzi wengi kuliko shule zote duniani na ina wafanyakazi 4,500. Shule ilianzishwa na Dr Jagdish Gandhi and Dr Bharti Gandhi kwa mtaji wa Rupee 300 walizochukua kwa mkopo. Shule ilianzishwa mwaka 1959 ikiwa na wanafunzi wa 5.