myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,808
- 656,846
Na stareheeee ni mambo ya wakatii
No comments
Sawa, namba 4 na 6 sikuziangalia vema.Namba 4 haiwezi kuwa jibu kwa sababu mrija unaopeleka maji kutoka # 3 umezibwa hivyo ndoo namba 4 haitapata hata tone moja. Labda ungesema namba 5 japo nayo iko chini ikilinganishwa na namba 7. Na mrija unaopeleka maji namba 6 nao umezibwa. Bado nashikilia jibu sahihi ni namba 7...
Uko sahihi. Jibu ni #5. Sijui kwa nini niliona yale mengine halafu nikashindwa kuona hili. Kweli hii ni kwa majiniazi pekeeSawa, namba 4 na 6 sikuziangalia vema.
Ila namba 5 ina nafasi nzuri zaidi kuanza kujaa maana kule yanapotokea namba 1 yameunganishwa chini kabisa.
Kwa maana hata kabla tanki namba 1 halijajaa tayari namba 5 imeshajaza tofauti na namba 7 inapata maji kwa juuView attachment 1502095
3Sawa, namba 4 na 6 sikuziangalia vema.
Ila namba 5 ina nafasi nzuri zaidi kuanza kujaa maana kule yanapotokea namba 1 yameunganishwa chini kabisa.
Kwa maana hata kabla tanki namba 1 halijajaa tayari namba 5 imeshajaza tofauti na namba 7 inapata maji kwa juuView attachment 1502095
Dah! Hii inawahusu billionaires tu
Sawa, namba 4 na 6 sikuziangalia vema.
Ila namba 5 ina nafasi nzuri zaidi kuanza kujaa maana kule yanapotokea namba 1 yameunganishwa chini kabisa.
Kwa maana hata kabla tanki namba 1 halijajaa tayari namba 5 imeshajaza tofauti na namba 7 inapata maji kwa juuView attachment 1502095
Uko sahihi. Jibu ni #5. Sijui kwa nini niliona yale mengine halafu nikashindwa kuona hili. Kweli hii ni kwa majiniazi pekee
Zoë we ni jiniazi. Kweli ndoo namba 3 ndiyo itajaa kwanza kwa sababu haivujishi maji po pote. Dah!!!
Ha hah
Sis hana maneno mengi. Na anaweza asitokee. I think I will be OK ila ikitokea moto ukaniwakia jibu ni kutoka nduki tu au kulog offHa hah
Naona umemtag kabisaa
Tulifundishwa kupiga wanawake?? Usifanye hivo Bro!Mkuu nimepata faraja kusikia upande wa pili wa sarafu.
Hii haijalishi nani mkweli.
Ila kiukweli kujitosa kumuoa supastaa aina ya shilole ni gambling.
Lakini kukubali kuishi na mwanamke wa aina hiyo huku asilimia 75 ya huduma za familia anatoa yeye ni hatari zaidi.
Kuhusu kipigo nadhani sheria inakataza, lakini msisahau kwamba sisi ni waafrika.
Waafrika tuna mila na desturi zetu ambazo hazifanani na jamii nyingine, labda tuna mila za ovyo, lakini ndizo tulizofundishwa
Wacha nisiseme sana nikampa sababu ya kususa!Sis hana maneno mengi. Na anaweza asitokee. I think I will be OK ila ikitokea moto ukaniwakia jibu ni kutoka nduki tu au kulog off
Mimi sipigi mke wangu.Tulifundishwa kupiga wanawake?? Usifanye hivo Bro!
Siwezi kuthibitisha juu ya mafunzo hayo (Sijawahi kuskia) ingawa hata hao wazungu wanapiga wake zao/wapenzi! Si swala la fundisho ila utashi.Mimi sipigi mke wangu.
Wala sitopiga.
Ila kuhusu jambo hili muulize mzee wa uzi huu mwenye umri wa miaka 75, ambaye ni mh SYB nadhani anayo majibu
Hayo ndiyo mafunzo halisi ya kiafrika.
Mengine yote tunaiga, ingawa siyo kosa kuiga mambo mazuri, ila bado kuna chembe chembe za kiafrika mioyoni mwetu.
Na bahati mbaya wenzetu wanawake vichwa vyao vina mambo mengi