moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,898
- 691,616
Asante sana jirani.Wakulima wote hongereni sana...
Tikiti maji tayari kwa mavuno
Asante sana jirani.Wakulima wote hongereni sana...
Safi sana....Asante sana jirani.
Tikiti maji tayari kwa mavuno View attachment 1499302
AminMungu atupe usiku mwema...
Ji jogoo mtuDuh! jogoo au mtu!!
Huyo jamaa ndiye mkurugenzi mkuu wa hifadhi ya nafaka ya taifamkurugenzi wa korean drama akiambatana na bwana ...............
View attachment 1499305
jamaa anaitendea haki nafasi yake, nchi ikikumbwa na ukame(Mungu atuepushie mbali) tunamkamua tumbo kama maiti ya kiislamuHuyo jamaa ndiye mkurugenzi mkuu wa hifadhi ya nafaka ya taifa
Dah !!!jamaa anaitendea haki nafasi yake, nchi ikikumbwa na ukame(Mungu atuepushie mbali) tunamkamua tumbo kama maiti ya kiislamu
ujio wake utakwenda kuvunja ukawa......ACT Wazalendo hia wi kamu....
soma hiyoInaitwaje mkuu
Usijekuta yote hii ni mikakati ya CCM. Yeye akagombee ACT halafu Lissu CHADEMA wagawane kura wapigwe kirahisiiii mchana kweupe. Na usije kushangaa baada ya patashika yote hii huyooo anarudi zake CCM. Wapinzani wangeachana naye huyu waende na Lissu.ujio wake utakwenda kuvunja ukawa......
chadema watapitisha mgombea wao uchaguzi huu (either lissu, mbowe au nyalandu)
upinzani watakuwa na mtihani wa kujitakia
Khantwe ameiona hii? Najua tu atakugeuzia kibao, badala ya huyo jamaa kuwa Mkinga atakuwa Msukuma; we subiri tu! 😅😅🏃♂️🏃♂️