Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

The foreign secretary, Jeremy Hunt, was the first cabinet minister to say he would stand. Dominic Raab, the former Brexit secretary, said he would take time to think about it over the weekend. The environment secretary, Michael Gove, and the home secretary, Sajid Javid, are also expected to announce leadership bids in the coming days.
Si mchezo!
 
The contest is shaping up to be a test of where the candidates stand on Brexit, with Johnson taking a firm stance on leaving by the EU’s next deadline. According to Reuters, Johnson told a conference in Interlaken in Switzerland: “We will leave the EU on 31 October, deal or no deal.”
Dah.. October is too soon
 
Pata masaji

Masaji ina manufaa anuwai kwa jili ya mwili wako. Kufanya masaji hukuwezesha kuwa na mtiririko mzuri wa damu katika sehemu mbalimbali za mwili wako.

Damu inaposafiri vyema mwilini itachukua pia sumu zilizojikusanya kwenye mwili na kuzipeleka kwenye viungo kama ini na figo ili kuchujwa na kutolewa mwilini. Hivyo kama unaweza kupata fursa ya kufanya masaji, basi ifanye ili uweze kuondoa sumu mwilini mwako.
Massage eeh? Wapi huko twende
 
Ni dhahiri kuwa sumu nyingi huingia katika miili yetu kutokana na mtindo wa maisha au mazingira yetu yasiyozingatia kanuni za msingi za afya bora. Mwili wa binadamu uliumbwa kutegemea na kutumia vitu halisi na si visivyo halisi (artificial).

Hivyo jitahidi kuwa mtu mwenye kupenda mboga na matunda zaidi kuliko vyakula vingine, ili uweze kupunguza kiasi cha sumu kinachoingia kweye mwili wako.
💯✔✔✔
 
Back
Top Bottom