AganoJipya
Member
- Jan 24, 2019
- 29
- 37
#wasoma coments mikono juuTofautisha WANAUME na WAVULANA, muda wao ukifika wata-make sense tu.... kumbuka YESU hadi leo yupo kwa Baba yake.
Usile Mbegu.
Sent using Jamii Forums mobile app
#wasoma coments mikono juuTofautisha WANAUME na WAVULANA, muda wao ukifika wata-make sense tu.... kumbuka YESU hadi leo yupo kwa Baba yake.
Usile Mbegu.
ninge bana...Ankoo andjul ...shemeji zako unawaona ankoo
Habar ya uzima ankoo?familia haijambo ankoo?View attachment 1047017
Hapo sasa, kijana lazima ajipange sawa sawia, akitoka kwao anaingia kwenye mjengo wake, pesa ya kodi anasave hadi anakua na pa kwake, huyu mleta mada atakua manzi wa maghetoni aliyefilisika mawazo.Mtu yuko kwao
Ana plan in two years or 3 awe kwake
Anajenga na kujiendeleza kielelimu kwa pesa ambazo angelipa kodi na kununua mazaga.
Usidate mwanaume Huyu ukakimbilia kudate jamaa ambae mshahara wa Pili tu keshaenda kupanga gheto ,ili tu aonekane kidume na apate uhuru zaid wa kula wadada wanao shobokea magheto kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nampa pole maana hao wa hivyo kua na maisha yao ni ndoto, wanajua kujipulizia pafyumu na kusokota vidread.Ahaaa itakuwa anasemea hao mkuu
Lakini na uwezo wa kukutia mimba,Bado mtoto wewe
Hapo sasa, kijana lazima ajipange sawa sawia, akitoka kwao anaingia kwenye mjengo wake, pesa ya kodi anasave hadi anakua na pa kwake, huyu mleta mada atakua manzi wa maghetoni aliyefilisika mawazo.
Nampa pole maana hao wa hivyo kua na maisha yao ni ndoto, wanajua kujipulizia pafyumu na kusokota vidread.
Kama Yesu kristo anaishi nyumbani kwa baba yake mpaka leo, mimi ni nani niende kupanga?
"Typed with my thumbs."
Lakini na uwezo wa kukutia mimba,
Mwanaume aishi kwao,anaishi kwake;labda wakiume.
Nije kwa mama'ako ndio ujue mwanaume ni kidume tuNdomana bado upo kwa babako
KaKa zangu walisoma nje, walisoma na kufanya kazi hUko kwa muda mrefu, walivyorudi walikaa nyumbani, wakaanza biashara, wakanunua viwanja, wakajenga nyumba zao na kuboresha biashara zao, walivyooa walihamia kwenye nyumba zao walizojenga wakiwa wanaishi 'nyumbani'. WaliVyokua wanadate wachumba zao, walikua wanaenda for weekend breakS (Ijumaa hadi jumatatu asubui) sehemu mbali mbali nDani na nje ya Dar. Siku za kazi walikua wanakutana mara chache kwa ajili ya chakula cha mchana au jioni. Ila weekend walikua wanazipangilia vizuri ili wapate muda wa kua pamoja. Kwa hio sikuona tatizo lolote la wao kukaa nyumbani
Nije kwa mama'ako ndio ujue mwanaume ni kidume tu
Great ila jaribu kuiweka in opposite way,mtu anakaa kwao hana malengo,analewa monday to sunday,amegeuza nyumba ya babake gesti kwa kuleta wanawake tofautitofauti kwao,anarudi usiku wa manane kutoka kwenye starehe anashinda na earphones maskioni akitoka anaenda kijiweni akirudi analala kwenye godoro la babake......
Kwani hao hawawezi kutia mimba?Utakua mfuga dreds tunaowaongelea