feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,762
Kutoka nyumbani ni hatua ya kupevuka pia
Crap..
Kwanini unahisi mtu anayeishi nyumbani kwao anakua hana majukumu? mf; mtu wazazi wake wamekua watu wazima pengine hata wamestaafu, kuna shida gani kijana akaamua kuishi nao kwa ajili ya uangalizi na hata akaoa na kuishi na mkewe hapo hapo au wewe hua unakutana na watu wa aina gani wanaoishi kwao? wale wacheza pool table kuanzia asubuhi mpk usiku?
Siongelei kudumu kwa mahusiano au la nilichomaanisha ni kuwa mwanaume aliepevuka kuendelea kukaa kwao ni kukosa guts za kuendesha maisha mwenyeweKweli kabisa mkuu mana mtu anakaa kwao huwezi jua amekutwa na matatizo gani na je mtoa post nikuulize kitu wale wanaodate na wanaume ambao wamepanga je VP mahusiano yao yamedumu kwa mda gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah naona unanitafutia sababu ya kunikataa poa basi nichangie hela ya kodi ili tuhamie unapopataka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wadada bakuli zenu hazibagui mboga... acheni kujiona wa maana wkt sisi ndio kila kitu kwenu.
mzazi gani akununulie chupi wewe dada?.. kama sio sisi mnaotudharau
Siongelei kudumu kwa mahusiano au la nilichomaanisha ni kuwa mwanaume aliepevuka kuendelea kukaa kwao ni kukosa guts za kuendesha maisha mwenyewe
Umepata jamaa anaekaa gheto nn??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtoto kwa mzazi hakui, halafu nmegundua unatuonea gere kwa kuwa tunakula ugali Wa bure
Husika na kichwa cha habari hapo juu,je kudate mwanaume anaishi kwao inamake sense???
Sio lazima ujenge upya wakati mwingine unapaswa kupaboresha tuNo offence kama babako alijenga mji wake y wewe usijenge wako?unapata wapi confidence za kuleta mke kwa babako
Umetisha mkuuKuanza maisha ni zaidi ya big screen ya kuangalizia series...umejipangaje??