carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,489
- 285,371
Epl huku unasubiria li sapuraizi la nguvuTena weekend ya epl full kukesha
Epl huku unasubiria li sapuraizi la nguvuTena weekend ya epl full kukesha
Sijaelewa kabisaaaKishasema bhana
Kama namuona mama naye akificha pesa zake
daah eti kwenye tunatest naona umeamua kua mbinafsi sasaWaambie hao khaaa wanataka kunifukuza humu nikose ubuyu. Mwaga kasuprise pale tunatest
Mara bro anaibuka na vidole vingine vya samaki full kupima vibrashen msabwax and slap itEpl huku unasubiria li sapuraizi la nguvu
Namkomesha tuumetiririka bonge la pointi ila mwishon umenichekesha sasa utaiba upeleke wapi jaman
Acha tuUmeona eeh
ntawagawia baadaedaah eti kwenye tunatest naona umeamua kua mbinafsi sasa
Afu ukute kachukua zako hivyo unakua umejiibiaNamkomesha tu
Kaelezea kwa kutumia codeSijaelewa kabisaaa
Hakika Mungu ni mwema. Habari ya wikendi ndugu yangu?Kwema mzee wangu??
DaahMara bro anaibuka na vidole vingine vya samaki full kupima vibrashen msabwax and slap it
Haya ngoja tuone mana daahUzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau
Tena wewe nisikuone huku nyumbani maana sina imani nawe.
Habari ya Jumamosi?
Na asiyelike ana roho ngumu zaidi ya chuma cha puaNimeshakupa Mkuu Humu ni like tu
Mara bro anaibuka na vidole vingine vya samaki full kupima vibrashen msabwax and slap it