Uuuuh si kwa ujumbe huu mzuri, kweli sikufanya kosa kupata mwenza maana ww ni zaidi ya mwenza.nsamaka,mwanamke wa furaha yangu,uliye zaliwa kwa lengo la kuwa mama bora wa familia,faraja ya moyo,furaha ya maisha.Usiye weza kujieleza,hata ukikwazwa bado unalibeba kosa kuwa lako,unaishia kulia tu,kwanini unakimbilia kuomba msamaha wakati kosa sio lako?msukuma wangu upo peke yako wa aina hiyo.Mwanamke wa huruma,nisemaje nsamaka unielewe ulivyo muhimu kwenye familia hii? Wewe sio mke tu bali ni rafiki yangu mkubwa na msiri wangu,hakika utaishi nafsini mwangu daima milele... hongera kwa kutimiza miaka hiyo japo bado nakuona mtoto sana,hasa umwagapo chozi la kukwazika napenda nikunyamazishe kwa kukupakata huku umeegamia shingoni kwangu,ukinirowanisha kwa chozi na kamasi laiiiniii nsamaka wewe ni mpaka kifo.Ya dunia yaone ila usiyajali.Ishi utakavyo ili niwe na wivu. Nakupenda mama,nakupenda nsamaka Furahia siku yako ya kuzaliwa na rafiki zako.Jifunze kuishi na watu vizuri.Nakupenda sana.
Yaan we acha tu, andjul wangu siku hz kaokoka.This is soooooo sweet...mzee wa....
Hahahah kwa raha zanguMkware katika ubora wake!
Kupendwa raha jamani, asikwambie mtu.Barua hii bombaa
Amina mpenzi, asante sana kwa ujumbe mzuri.Mpendwa Nsamaka napenda nikutakie siku njema ya kuzaliwa kwako,
Mungu wetu ayasikie na kuyatimiza malengo yako yote!
Kuwa na afya njema, mafanikio ya kiroho na mwili.