myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 150,692
- 667,234
Jioni njema wadau wa jf
KaribuHodi humu..!
Ni maskini sana mkuu..Kwamba sisi wafanyakazi wa Halmashauri ndiyo wanyonge sana?
🙏Jioni njema wakusoma na waalimu wenu
🙏Jioni njema wakulima wafugaji wavuvi na wamachinga..
🙏Jioni njema walezi wa familia zetu
🙏Jioni njema mamalishe wote
🙏Jioni njema wadau wa daladala bajaji bodaboda na kwenye vivuko..