Leratoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 37,956
- 204,333
Kijidudu hicho kawaida huathiri watu iwapo maji yaliyoathirika yataingia mwilini kupitia puani. Na husababisha kifo.
Maambukizi ni nadra sana kutokea nchini Marekani huku visa 34 vikithibitishwa kuripotiwa kati ya mwaka 2009 na 2018.
Maambukizi ni nadra sana kutokea nchini Marekani huku visa 34 vikithibitishwa kuripotiwa kati ya mwaka 2009 na 2018.