mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,440
- 430,513
Akizungumza leo Jumapili, Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji, Mrakibu Msaidizi Joseph Mwasabije amesema, "tumewaokoa watu 80 na wawili wamefariki dunia, ambao wote ni wakazi wa Kilwa mkoani Lindi."