Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Pale mjini Bukoba kulikuwa na vigogo wawili Meya wa mji Anatory Amani na mbunge Hamis Kagasheki.
Vigogo hawa walikuwa na uwezo wa kujenga stendi nzuri ya kisasa lakini wametumia muda mwingi wa utumishi wao kugombana baina yao.
Bahati mbaya wanaokuja sasa wamekosa ubunifu na mbinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…