Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Ila kweli, haya mambo ya kujinyima nyima haya... Ukute hutu tupicha ndio kibali cha kuuona ufalme wa mbinguni

Nimekuibia tupicha twingi tu... Yaani naokoka naanguka naokoka tena. Kama leo nahisi nimeanguka tena... View attachment 1400182

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya siku usije ukanisingizia miye eti ndo nimekusababisha ukaenda kwenye etano faya. Yu a resiponsibo fo yua ekishenzi
2dd1626f-d92f-49c3-8ee0-ee50ec162b3d.gif
 
Muongozo, Ushuhuda na Uthibitisho alio uacha bwana Jessup ulisaidia kwa watafiti wengine. ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
Mwaka 1963 Vicent Gaddis alichapisha kitabu ambacho kilikuwa na kichwa kilicho someka “INVISIBLE HORIZONS THE MYSTERIES OF THE SEA”(Bahari ya siri Isiyo onekana kwa upeo wa macho). ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
Alitumia taarifa alizo zipata kwenye Varo Annotation(Dokezo la Varo), Aidha mwaka 1978 Georg E. Simpson na Neal R. Burger walichapa kitabu ambacho kilikuwa kina kichwa kilicho Someka “THIN AIR”. ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
Hiki kitabu kinapatikana hadi leo lakini Naval Investigative Service Officers [ISO] wanadai kuwa sehemu kinapo onesha nadharia ya jaribio la kuto kuonekana kwa meli kipindi cha vita ni kwamba wanajaribu kubadilisha na kupindua vibaya teknolojia inayo husisha kusafirisha maada (CONSPIRACY)(ni kama njama fulani zina fanyika).
 
Mwaka 1979 hizi habari zilivuma kwa kwa kasi sana ambapo mwandishi Charles Berlilitz alichapa kitabu chake ambacho kina taarifa za kweli na alikiita “THE PHILADELPHIA EXPERMENT PROJECT INVISIBILITY”,. ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
kitabu hicho kilihusisha maelezo ya UNIFIED FIELD THEORY iliyotolewa na Albert Einstein. ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
Berlitz pia alieleza mapungufu na ubovu wa serikali juu ya barua za Allende kwa Jessup, Berlititz Kuna wakati alikosolewa na Fundi kutoka kitengo cha Navy Bwana Thomas Townsend brown, hicho kipengele kili husisha FIELD FORCE, baada ya muda kidogo Paul Violettes aliandika kitabu alichokiita SECRET OF ANT-GRAVITY PROPULSION
kuonesha vitu ambavyo fundi wa kitengo cha Navy alikuwa amevificha kwa Berlititz,
 
Hivyo utata kwenye nadharia zilizo kwenye kitabu cha Berlititz zilipata ufumbuzi. ⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫⚫
Mnamo mwaka 1984 kipindi hiki Stewart Raffill alisema kuwa hizi filamu zinazotembea kwa wakati ndio Philadelphia experiment, hii ni baada ya kushindwa kujua chanzo maalumu cha jaribio ndipo akajaribu kuangalia vitu vinavyo endana na jaribio.
 
hahahaha, haya.

Pole sana kwa kuchomeshwa mahindi.
Halafu nina wazo tofauti kuhusu huyo 'demu'. Hisia zangu zinaniambia hata sio ke, kama ni ke ni memba wa zamani mwongo mwongo ambae ameamua tu kutafuta attention. Hebu angalia jina analotumia, amejiunga December 31 na mpaka sasa ameshaanzusha nyuzi karibia kumi, hiyo 'mimba' imeshafunguliwa thread kama mbili (who does that especially kwenye hizi jamii zetu za kiafrika???) Leo kaja na hili la baby daddy na kudai yuko heartbroken, kesho atasema stress zimesababisha apate miscarriage, mpaka hapo keshafanikiwa kuwateka.

Ni mtazamo wangu tu naweza kuwa sahihi au sio sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu nina wazo tofauti kuhusu huyo 'demu'. Hisia zangu zinaniambia hata sio ke, kama ni ke ni memba wa zamani mwongo mwongo ambae ameamua tu kutafuta attention. Hebu angalia jina analotumia, amejiunga December 31 na mpaka sasa ameshaanzusha nyuzi karibia kumi, hiyo 'mimba' imeshafunguliwa thread kama mbili (who does that especially kwenye hizi jamii zetu za kiafrika???) Leo kaja na hili la baby daddy na kudai yuko heartbroken, kesho atasema stress zimesababisha apate miscarriage, mpaka hapo keshafanikiwa kuwateka.

Ni mtazamo wangu tu naweza kuwa sahihi au sio sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida yo yote atakayopata kwa kufanya hivi? Attention ya hapa JF inasaidia nini? Au ni kiki za kujipatia mabwana au ni nini?
 
Halafu nina wazo tofauti kuhusu huyo 'demu'. Hisia zangu zinaniambia hata sio ke, kama ni ke ni memba wa zamani mwongo mwongo ambae ameamua tu kutafuta attention. Hebu angalia jina analotumia, amejiunga December 31 na mpaka sasa ameshaanzusha nyuzi karibia kumi, hiyo 'mimba' imeshafunguliwa thread kama mbili (who does that especially kwenye hizi jamii zetu za kiafrika???) Leo kaja na hili la baby daddy na kudai yuko heartbroken, kesho atasema stress zimesababisha apate miscarriage, mpaka hapo keshafanikiwa kuwateka.

Ni mtazamo wangu tu naweza kuwa sahihi au sio sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee yawezekana una pointi. Kuna walakini ila kwa vyo vyote vile yaonekana ni fyekero....
Screenshot_20200326-171012.jpg

Screenshot_20200326-171256.jpg
 
Back
Top Bottom