Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,191
- 1,095,409
Tanzania mikataba mirefu hakuna. Just imagine kitenge alikimbia ITV huyo akaruka ruka weee katua Efm na bado akapata dili la supersport bado efm wakamvumilia japo hakua akitekeleza majukumu yake vizuri ,hajatulia vizuri now kahamabahati mbaya sana maisha ya watu maarufu wanaoishi Tanzania siyafahamu kiundani hata kidogo hivyo basi huenda mupo sahihi kimtazamo.
kwani hao waandishi wa habari huwa hawafungi mkataba wa kufanya kazi kituo X kama walivyo wachezaji wa mpira na timu zao?
SHIMBA YA BUYENZE msaada tafadhali