Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,212
- 1,077,430
Am faini carba
We TRM zako wafanyie hao waliosalia kwenye ubrozone na u-friendzone
#menabaekuachanaSahau
#utasubirimeliairport
#sijuinikupepole
Marahaba shemeji. Naona TRM umeirudisha full force. Ila angalau kwa sasa haijatulenga Wasukuma. Endelea hivyo hivyo...
#Wataachanalini?
Hii wiki sio yangu kabisa.
Usiku wa mvuaUsiku wa raha
Naomba uniache tafadhali
The Don himself, heshima yako
😂😂😂Hii wiki sio yangu kabisa.
Meza imepinduliwa halafu kama haitoshi huku napigwa na malyriksi nikigeukia huku maua.
#NasubiriaMwishoWao
Depal na TH. Kateni mzizi wa TRM. Wavalisheni pete mabae wenu ASAP figisu figisu za mtaachana lini zipungue. Ni ushauri tu...
View attachment 1229101
#emutuwache
#wivutu
carba aone hapa tafadhali😆😆Zibia masikio maneno yao me na wewe mwisho wetu ni kama Bonnie and Clyde
WaaahZibia masikio maneno yao me na wewe mwisho wetu ni kama Bonnie and Clyde
Tumekaa kikao na Mwenyekiti wewe subiria moto tuu😀😀😀.Marahaba shemeji. Naona TRM umeirudisha full force. Ila angalau kwa sasa haijatulenga Wasukuma. Endelea hivyo hivyo...
#Wataachanalini?
The Don himself, heshima yako