Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Hiyo bima vipiView attachment 1227748
Tahadhari
Mpendwa wangu Shimba ya buyenzeMpendwa Hawachi!
Florida hawana Tornado sana. Hii nadhani ni water spout - kakimbunga msokoto kanapopita juu ya maji. Tornado ni huko Tornado Alley kuanzia Alabama, Oklahoma, Texas, Nebraska na Kansas huko. Florida wao ni wazee wa hurricanes...
Bora umeomba poo bro ungechambwa kishenziMimi naomba tuishie hapa.
Kuna nini kilitokea mpendwa nianze nianze kusoma comments moja baada ya nyingine 😀😀😀😀Bora umeomba poo bro ungechambwa kishenzi
Hujanitendea haki mpendwa. Yaani nilimisi picha yako kwa sekunde tu nikakuta ushaifuta. Nikalia weee uirudishe lakini wala hukujali mpendwa. Whai?Mpendwa wangu Shimba ya buyenze
Sijaona Usukuma wa tangazo hiliwasukuma hawaView attachment 1227793
Florida hawana Tornado sana. Hii nadhani ni water spout - kakimbunga msokoto kanapopita juu ya maji. Tornado ni huko Tornado Alley kuanzia Alabama, Oklahoma, Texas, Nebraska na Kansas huko. Florida wao ni wazee wa hurricanes...
View attachment 1227792
Hivi ulikuwepo online nilipoweka picha yangu nashukuru niliifuta sekunde kabla wachomoa betri hawaja sreenshort 😀😀😀Hujanitendea haki mpendwa. Yaani nilimisi picha yako kwa sekunde tu nikakuta ushaifuta. Nikalia weee uirudishe lakini wala hukujali mpendwa. Whai?
Ushombe shombe na ulimwende wa Mashariki ya Kati nitaushuhudia lini jamani? Siyo fea mpendwa. Uliyemwekea nikamuuliza na yeye akawa analia eti hakuidaunilodi. Basi mateso tupu mpendwa
Nimemvulia kofia. Amefuzu na kupitiliza mpaka wasimamizi wake waliompa hiyo PhD wanamshangaaMzee wa TMK unawafunika wenye kazi zao sasa
Na wewe mkuu huwa unafuatilia matani ya humu? Safi sana !!!Heshima ya ukoo lazma itetewe kwa gharama yoyote
Aisee sijui. Niliondoka FL kitambo. Ila msimu wao wa hurricane huanza Juni 30 mpaka Desemba 30. Kwa hiyo sasa wapo katikati na bahari ya Atlantic inaweza kujikoroga wakati wo wote na kuleta maafa. Nilishashuhudia hurricane 4. Sikuzipenda. Mchana inageuka usiku, umeme hakuna, maji kama wakati wa Nuhu na upepo mkali unabeba mavitu na kuyagonga huku na huko. Kikija kupita ukitoka nje utafikiri jitu lenye nguvu na hasira nyingi limepita na kuitikisa miti yote na mingine kuing'oa kabisa na kurusha vitu huku na huko. Ndipo utagundua kwamba kama binadamu, pamoja na teknolojia na maarifa yetu yote, kwa mother nature bado saana tena sana...Vimbunga msotoko?
Nadhani hata kwetu huku vinapatikana.
Kwa sasa hali ya mambo ikoje Florida ?
Sawa bae