Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

*Mwalimu kauliza swali darasani wanafunzi wataje kazi za wazazi wao:*

*Tina: Mimi baba yangu mfanyabiashara mama yangu Mwalimu*
*Mwalimu: Safi, haya Juma*
*Juma: Baba yangu dereva mama yangu hafanyi kazi*
*Mwalimu: Vizuri, haya Zogo*
*Zogo: Mimi mama yangu malaya anajiuza baba simjui*
*Mwalimu: Pumbavu wewe, nenda ofisini kwa mwalimu mkuu ukamueleze upuuzi wote uliosema hapa*

*Zogo... anaenda ofisini anarudi huku anatabasamu na anakula biskuti.*

*Mwalimu :* *Mwalimu mkuu kakupa adhabu gani?*
*Zogo: Kaniambia nimpe namba ya mama…*
*
 
c1016ce9-99a3-422c-b914-e2199bf680ba.jpeg
 
Back
Top Bottom