Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,256
- 1,095,901
Imeripotiwa kuwa kocha wa Spurs Mauricio Pochettino ndie anayepigiwa chapuo na Viongozi wa wa Club ya Man United kurithi mikoba ya Mreno Jose Mourinho mwishoni mwa msimu huu, inaelezwa Mabosi wa United wanataka kuachana na Mourinho mwishoni wa msimu huu