Mbona nagawa za kutosha tu mkuuNawe utoe likes pia siyo mpaka ulalamikiwe na Kichwa Kichafu. TOA LIKES KAMATA LIKES!!!
Well saidNavy seal muziki huu wa kuviziana hawauwezi. Afghanistan na Iraq mpaka leo wanauliwa tu.
Hii inahitaji sana msaada wa jamii kwa sababu hawa watu wanajulikana ila watu wanaogopa ku-snitch. Unaweka moles kila mahali halafu ukimpata mmoja unamhoji "vizuri" anawataja wengine. Moles unawa-uproot na kuwapeleka kwingine mpaka mambo yakipoa. Siyo maguvu hapa bali intelligence zaidi...
Kamata likes...Mbona nagawa za kutosha tu mkuu
Hii ni hatariEid ilikuwa safiiii!
That's our ruleSina muda wa kusoma kula like
Toa likes kwanza kwa wadau ili na wao waku like na wewe.Nitoe gundu ya like jamani
Hapa Mkuu ISIS akirubuniwa.Oooooh Fatakiii!!!
HahahahaaaNtasoma kesho kula like kwanza
Msamiati mpyaMKIRUMkiru by zitto kabwe
Labda hajakuangalia vyema.Mbona nagawa za kutosha tu mkuu
Ha ha ha ha ha haThat's our rule
Heshima kidogo mkuu. ISIS ni dadangu. Na harubuniki wala kuzuzuka hata kama ungekuwa na pesa zaidi ya Bill Gates. Kamata likes lakini kwa heshima!Hapa Mkuu ISIS akirubuniwa.
Mkiru ndo nini?Msamiati mpyaMKIRU
HahahahahahahaHeshima kidogo mkuu. ISIS ni dadangu. Na harubuniki wala kuzuzuka hata kama ungekuwa na pesa zaidi ya Bill Gates. Kamata likes lakini kwa heshima!