Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

0617d4c17f534ed2253d2d726b7ecdc9.jpg
 
Stoke, West Ham, Everton na Southampton wana hamu ya kumsajili mshambuliaji wa Watford Odion Ighalo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alielekea katika klabu ya ligi ya Superleague nchini China Changchun Yatai mwezi Januari. (Tutto Udinese, via Stoke Sentinel)
 
Back
Top Bottom