andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,711
- 119,611
Nadilisha hapo kwenye malaika halafu nitaje mimi.Hela ninayo,nshauza....Ningekuwowa malaika
Nadilisha hapo kwenye malaika halafu nitaje mimi.Hela ninayo,nshauza....Ningekuwowa malaika
Mtaala wa bongo ovyo tu,hapo nawaza 24yrs uko high school tena form5 then waenda chukua MD 5yrs mwaka wa 6 internshipbado hujaangaika na kazi haki ya nani maisha hayaNatamani nianze darasa la kwanza lakini si kwa mtaala wa Africa.Muda mwingi tumepoteza kusoma historia tu
Mbona ka photoshop hivimsinipige maweMkuu nilikuwa nakutafuta tangia mchana ili nikufikishie hizi salamu zako
Kwendaaa na madharau yako....
Siyo kweli shemeji. Singo maza nitamuweza kweli? Nitahangaika na Jakitoo mpaka kieleweke ikibidi atuchukue sote wawili kama kuchagua mmoja haweziKwahiyo na wewe umekubali zizi lako livamiwe shemeji??
Mana nimesikia na wewe watafuta singo maza?
Nimepata taarifa et bob kavunja zizi la mkoromije na wewe ulikuwepochineke nemmwaa!!!
Hapo sawa nimekuelewaila inaelekea bob alikutingishaSiyo kweli shemeji. Singo maza nitamuweza kweli? Nitahangaika na Jakitoo mpaka kieleweke ikibidi atuchukue sote wawili kama kuchagua mmoja hawezi
At finally....Naamini jakitoo leo anakesha humu kwa ujumbe huu,no usingizi tudei
Good night malaika mwema. You are good person Jakitoo and that's why you will always be my friend and lover...no matter what. Lala salama na Mungu Akulinde ewe binti mwema usiye na mawaa
Mimi?nina madharau??nimeanza lini?vyenye nipo mpole hivi??Kwendaaa na madharau yako....
Usingizi umekata.Enheee...embu endeleaMkuu nilikuwa nakutafuta tangia mchana ili nikufikishie hizi salamu zako
Usingizi umekata.Enheee...embu endelea
Ila nawewe umepita njia ndefu hapo kuolewa kwishney kalegaMtaala wa bongo ovyo tu,hapo nawaza 24yrs uko high school tena form5 then waenda chukua MD 5yrs mwaka wa 6 internshipbado hujaangaika na kazi haki ya nani maisha haya
Haihuu...achana na sisi tumeridhikaMbona ka photoshop hivimsinipige mawe
Hapo unafikiri unahitaji milonge kiasi gani ndiyo angalau uonekane kuwa you put up a resistance?Usingizi umekata.Enheee...embu endelea
Mimi???Akhaa!!!Nimepata taarifa et bob kavunja zizi la mkoromije na wewe ulikuwepo
Jakitoo siyo anda eitiini wewe. Tena atalala kwa amani ya kweli...like a baby !!!At finally....Naamini jakitoo leo anakesha humu kwa ujumbe huu,no usingizi tudei
Sikuamini kabisaaaa,sikutaki hata kukuona. PyeeeeeeMimi?nina madharau??nimeanza lini?vyenye nipo mpole hivi??
nateseka na uzee huu kisa misambwanda.Kumekucha!
Bob aliingia kama mchungaji aliyeokoka. Baadaye akageuka akaanza kusema anahitaji milonge. Gia ya mwisho akawa singo faza anayelea kabinti ka miaka mitatu kaitwako Viv. Basi Jakitoo hoi mpaka akajitolea kupeleka mapera. Hata alipoambiwa kuwa kaViv hakali mapera akasema atapeleka biskuti na milonge. Hapo ndo nikajua kuwa nimepigwa shemejiHapo sawa nimekuelewaila inaelekea bob alikutingisha