mrMaco
Member
- Jun 19, 2020
- 90
- 151
Una level gani ya Elimu?Mimi ni mdada, natafuta connection ya Kazi yoyote halali. Ilimradi tu iniingizie kipato. Sehemu yoyote na mkoa wowote. Nipo dar es salaam.
Una level gani ya Elimu?Mimi ni mdada, natafuta connection ya Kazi yoyote halali. Ilimradi tu iniingizie kipato. Sehemu yoyote na mkoa wowote. Nipo dar es salaam.
International rescue committee walitangaza kazi ya research ungeombaBinafsi ninaomba Mwenye connection na kazi za research au projects anisaidie. Kazi niliyonayo ni uncertain KWA 100%
Mlioko vyuoni tafadhali sana naomba msaada.
Pia connection ya kufundisha chuoni research methodology na development studies ninaomba anisaidie.
Mkoa wowote nipo tayari.
Niko zaidi ya serious.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Kidato cha sitaUna level gani ya Elimu?
Namba mbona hujawekaHabari wadau natafuta connection ya ajira.
Jinsia. Kiume
Elimu: Bachelor degree of Science in Accounting and Finance
Uzoefu: Zaidi ya miaka miwili katika
- Kufile Return za Kodi (VAT, SDL, PAYEE)
- Kuandaa Mahesabu (Financial statements)
- Bank reconciliation
- Maintaining Petty Cash Account
- Payroll preparation
- Other accounting duties and general office operations
Napatikana DSM na nipo tiari kwa kazi nje ya DSM.
Nipo tiari kujifunza kwa wengine na kufanya kazi kama team, pia ni muaminifu na hofu ya Mungu
Nimesharekebisha mkuuNamba mbona hujaweka
Kama hujapata kazi tuwasiliane nina kazi ya kufanya research na kuandika proposal ya afya mkoanBinafsi ninaomba Mwenye connection na kazi za research au projects anisaidie. Kazi niliyonayo ni uncertain KWA 100%
Mlioko vyuoni tafadhali sana naomba msaada.
Pia connection ya kufundisha chuoni research methodology na development studies ninaomba anisaidie.
Mkoa wowote nipo tayari.
Niko zaidi ya serious.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Sifa zako?Naombeni connection ya kupata sugar mamy jamani anilee , ninapatikana dar nina umri wa miaka 25 , nguvu za kiume ninazo , serious mwenye connection aniunganishe , sina mpango na vischana kwa sasa
Kama una connection njoo PM
Kipaza sauti cha nini wakati unaweza kumnongoneza akasikia.Ajira za sasa ndivyo zilivyoDhamira ni kwamba kama unapofanyia kazi kuna nafasi hapo wastue wenzako kupitia uzi huu ndo maana ya connection
Nimesikia watu wakisema eti hii bongo bila Connection hata ndoa inakuwa ngumu.Kama kichwa cha habari kinavyo someka
ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za kazi .
Katika kuzunguka kwangu kote kutafuta kibarua/kazi nimebaini kuwa bila kujuana na mtu ni vigumu kupata kibarua/kazi .
bila connection ni ngumu kupata kazi hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za kazi
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbal mwisho wa siku kupeana connection za kazi kutokana na ombi la muhusika.
Tupo watu mbalimbali jamii forum tukitafuta kazi/kibarua lakini kutokana na kutokuwa na connection tunakosa Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwetu.
Elezea unahitaji connection ipi katika kazi kisha subiri kupewa connection na wadau mbali mbali katika kai/ajra Na tenda
Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo Kwa taifa.
We mzee....hii ni itakuwa sasa ni conjunction sio connectionNaombeni connection ya kupata sugar mamy jamani anilee , ninapatikana dar nina umri wa miaka 25 , nguvu za kiume ninazo , serious mwenye connection aniunganishe , sina mpango na vischana kwa sasa
Kama una connection njoo PM
Hahahaha. KweliNimesikia watu wakisema eti hii bongo bila Connection hata ndoa inakuwa ngumu.
Mrefu ila sio sana , maji ya kunde , sio mwembamba wala mnene size ya katiSifa zako?