dumejm
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,174
- 841
Nmekuelewa sana mkuuMkuu hongera sana, Binafsi nakushauri kama unatumia blogger platform iache, tumia wordpress ambayo ipo very simple na ina themes nzuri mfano sahifa na pia ina plugins kibao zitakazokurahisishia kazi yako.
Sauzi ukiwa na views 5,000 na clicks kama 2,000 tayari ushalaza dola mia tatu, so kule ni kwepesi sana tofauti na bongo ambako unaweza pata hata views 10,000 lakini wanaoclick tangazo haya 1,000 hawafiki ukizingatia pia cpc ni mabua unaweza kupata dola 30 tu kwa hizo views 10,000
Hapo kwenye facebook accounts jaribu kutumia hata proxy moja kwa accounts za fb tatu, Wale fb wakijua unafanya spamming wanablock accounts zote ambazo zinatumia ip moja mbadala wake tengeneza multiple devices kwa kutumia memu android emulator na enye kila emulated android device tumia account tatu.
usiweke hapa blog yako,,Sio wote wataopenda mafanikio yako...It is likely watu wenye roho mbaya watakutumia invalid clicks ilii ufungiwe