Mkuu nami naitaji mchongo mkuu sina inshu mjini hapaSawa sawa ngoja niangalie pa kumuweka
vijana mnakosa vipi kazi? Mbona kazi ni nyingi mno ~ Hangaya. 2022Mkuu nami naitaji mchongo mkuu sina inshu mjini hapa
Mkuu tuambieane Iyo michongo jamani jua ni kali mnoovijana mnakosa vipi kazi? Mbona kazi ni nyingi mno ~ Hangaya. 2022
Muulizeni mama yenu maana hata mie sielewi kabisa wacha nipate pepsi baridi kwanza!Mkuu tuambieane Iyo michongo jamani jua ni kali mnoo
Mkuu tuambie basi au tupe connection hali mbaya mkuuvijana mnakosa vipi kazi? Mbona kazi ni nyingi mno ~ Hangaya. 2022
Mkuu tuendelee kuvumilia pengine upepo utakaa sawaMkuu tuambie basi au tupe connection hali mbaya mkuu




Malipo kabla.

Kiingilio ni elfu 1500 tu ila kuna faida za kuwa kwenye chama hichi kama pia unataka uongozi ntumie text dm nayafuta mawaziri na wabunge wa kuwasilisha majobless wengine tutajipa ajira sasa maana serikali imekataa kutupa sasa tutatengeneza serikali yetu na majimbo yetu karibu napokea maombi.Labda kwa kuweka jambo sawa hiyo 1500 ndio kama mapato maana tutakuwa na miradi yetu wenyewe.Nawasalimu kwa jina la chama cha majobless revolution is coming.Bei ganiNaunganisha tgo gb 72 za mwaka mzima ambapo kila mwez utapata GB 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima Bei Pm. ( Malipo kabla ya kazi).
Pia naunganisha free call tgo kwa miaka 2 ( malipo baada ya kazi)
Only for seriously people.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wamezidisha mno vigezo vyao,,,, yaan mtu awe na uzoefu wa miaka 5??kuna kampuni inaitwa Gardaworld ipo mikocheni b...kituo kinaitwa kwa mwinyi kampuni hiyo ni ya ulinzi...inahitaji madereva nenda ukiwa na leseni yako orginal, cheti cha shule kuanzia msingi hadi sekondary...vyeti orginal...leseni yako halali kabisa bila kusahau cheti cha kuzaliwa pamoja na namba ya nida au kitambulisho cha nida...kama unavyo vitu hivyo jumatatu fanya uende ukafanye interview...wataarifu na madereva wengine wenye uhitaji
ulienda ama umehadithiwa?Wamezidisha mno vigezo vyao,,,, yaan mtu awe na uzoefu wa miaka 5??
Ww unaweza mlipa mtu usiye mjuaVodacom
730mins all nets for 12,000/=
2100mins all nets for 16,000/=
One Month Pre-paid
12GB for 15,000/=
25GB for 25,000/=
37GB for 35,000/=
One Month
Vodacom
12GB+730mins All nets 27k
25GB+730mins All nets 37k
37GB+730mins All nets 45k
One Month
Malipo kabla.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app