Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,074
Hahaha Tusiwe wepesi wa kuhukumu, Mimi Sitaki kwa ajili ya kuuza nataka kwa ajili ya mifugo yangu, Nimekua nikitafuta Sana Minyoo na Mende ili nizalishe kwa ajili ya Kuku wangu.Hahha ushatoa Mate kisa 70k per kilo ushafanya Uchunguzi hata wa soko lake na Wapi wanauzwa?
Hata hapa jukwaani Nimeshapost mara nyingi tu kuulizia hii mambo. Asante Sana