Uzalendo umeniishia: Sasa naipenda CHADEMA

Uzalendo umeniishia: Sasa naipenda CHADEMA

Kwanza nikuambie kuwa gharama za ukombozi ni zaidi ya hizo unazotaja watu wanafungwa na kuuawa, si ulisikia kamanda mbwambo(R.I.P) Usariver Walivomchinja kama kuku kisa alisaidia kupatikana kwa ushindi Arumeru? Igunga si ulisikia watu walipokufa? Morogoro pia Maandaano ya Arusha pia! Kikubwa ni kusimama imara na kusonga mbele huku ukitarajia makubwa na mabaya zaidi lakini jifariji kuwa siku zote haki inashinda!Ukombozi kamili utapatikana baada ya kuwang'oa ccm 2015 jipe moyo ndugu yangu! ukishindwa(naamini huwezi) basi kaji submit tu kwa magamba, hakuna short cut.Nimetiwa moyo na sentensi kwenye andiko lako kuwa"nilijiunga CHADEMA Mwenyewe,kwa akili zangu mwnyewe,uamuzi na kwa nia ya dhati,na kwamba nimeazimia kufia CHADEMA nikikitetea kwa nguvu zote "SIMAMIE HILO !
 
Maovu unayofanyiwa na hao vibaka iwe chachu ya mabadiliko kwako na taifa lako, ikutie hasira ya kuwaondoa ccm madarakani kwa nguvu ya umma. Unyonge na Uwoga ni dhambi kubwa na ya ajabu sana
 
Kamanda lazima afe na bunduki yake! Kama wewe unatishiwa kidogo na magamba unataka kunya tukueleweje? Kipimo cha ukamanda ni kuhimili misukosuko!
 
Mwambie huyo kiongozi kwamba anachotaka kufanya kitampata mwenyewe, Na akikugusa tu mpigie Tundu Lissu, tumuwashe, tuone kama hakuhama Rombo.
 
Komaa KAMANDA,kujitoa ktk harakati hizi za mabadiliko sio kazi ndogo.,mkoloni mweusi ni noma wengi tumepata hasara tunavumumilia hatupigi mayowe kwani ni afadhali ya hasara za kazi,mali na fedha kuliko waliopata vilema na wengineo kupoteza maisha.TUKAZE BUTI KWANI YOTE TUTALIPWA PUNDE KIDOGO na hata tusipoyaona,tunatakiwa kuiacha TANZANIA ikiwa mahali salama pa kuishi.
 
Kwanza nikuambie kuwa gharama za ukombozi ni zaidi ya hizo unazotaja watu wanafungwa na kuuawa, si ulisikia kamanda mbwambo(R.I.P) Usariver Walivomchinja kama kuku kisa alisaidia kupatikana kwa ushindi Arumeru? Igunga si ulisikia watu walipokufa? Morogoro pia Maandaano ya Arusha pia! Kikubwa ni kusimama imara na kusonga mbele huku ukitarajia makubwa na mabaya zaidi lakini jifariji kuwa siku zote haki inashinda!Ukombozi kamili utapatikana baada ya kuwang'oa ccm 2015 jipe moyo ndugu yangu! ukishindwa(naamini huwezi) basi kaji submit tu kwa magamba, hakuna short cut.Nimetiwa moyo na sentensi kwenye andiko lako kuwa"nilijiunga CHADEMA Mwenyewe,kwa akili zangu mwnyewe,uamuzi na kwa nia ya dhati,na kwamba nimeazimia kufia CHADEMA nikikitetea kwa nguvu zote "SIMAMIE HILO !

mkuu kwa jinsi ninavyoamini ni kwamba nipo sehemu sahihi!kamwe ctaweza kujisubmit CCM so long nimejua uhuni wanaotufanyia watanzania!kujisubmit ni kuishi kinafiki ilhali hali halisi naifahamu!CTAWEZA KAMWE!
 
Kama kweli una ushahidi ya visasi toka kwa hao magamba kwa nini usikae na Mbunge wako umpe mkanda mzima uone ni jinsi gani ataweza kukusaidia?

Dawa ya mchawi ni kumweleza ukweli mbinu zake chafu dhidi yako kuwa umezitambua.
Way foward
 
Ebu soma ujumbe huu,unapoandaa shamba kwa ajiri ya kupanda mbegu,bila kujari ni aina gani ya mbegu.Kwa kawaida huwa tunapanda mbegu moja au mbili kwenye shimo moja.Je unapopanda mbegu moja au mbili unavuna punje ngapi za mahindi au maharage?ili taifa likombolewe tusiogope kumwaga damu au kuumia kwa hali yoyote hile ili vizazi vijavyo viishi kwa raha.anakufa 10 wanaofaidika ni 100000 mbegu moja inakufa udongoni na anazaliwa mbegu 500-2000,pambana mzee na wala usiogope anayetoa ridhiki ni mungu pekee
 
Ni kwa mda sasa tangu chama cha mapinduzi CCM kijifunge mkanda na kukaza soksi ili kukabiliana na hoja za nguvu na zenye kutetea wanyonge pamoja na maslahi ya taifa za CDM,lakini CCM ikajikuta kilaikipiga hatua 3 CHADEMA 14 hali hii ya kushindwa si tu kwamba ilimsikitisha mwenyekiti wao JK a.k.a Mzee wa udini bali ilionekana ni msiba kwa wana CCM wote hususani mafisadi na wachumia tumbo kadhaa,hali hii ilimpelekea JK aibuke na matamko na kauli mbalimbali ambazo ama hawana uwezo wa kuzitekeleza ama ili kuzitekeleza itabidi watumie gharama kubwa.

CCM kupitia mwenyekiti wao Jk tumeshuhudia kali mbiu kama kuvuana magamba,kuiumba upya CCM,hii yote ni kwa kuwa siku zote hawakuwa wamepata mpinzani wa KWELI ambaye kwa sasa ni CHADEMA,CDM si tu inainyima CCM usingizi wa ndoto tamu za kuendelea kuota wanaendelea kutuibia rasimali zetu bali inawanyima UHURU hata wa kuvaa nguo zao za kijani rangi ambayo haitoi matumaini mazuri unapoikuta amefunikwa nayo mgonjwa hospitali, Hali hii kwa sasa imebidi wavihusishe vyombo vya dola hususani Polisi na Usalama wa taifa hasa kitengo cha propaganda na siasa,ikajikuta pia inaachana na ilani yake ya "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA ikawa MAISHA MAGUMU na VITISHO KWA KILA MTANZANIA"

Kwa uwoga mkubwa iliyonayo kwa sasa ikajikuta inapanga mikakati yake ya hujuma kwa VIONGOZI WA CDM, wanaCHADEMA, wanaharakati na kila mtu anaeonekana anakikosoa kwa uwazi na bila umakini,Serikali yake ikajikuta inahusishwa na vitendo vya ung'oaji meno, kucha, utoboaji macho na mauaji kwa mgongo wa polisi,Lakini kama haitoshi CCM kwa kutumiaADA za wanachama wake na RUZUKU ya wavuja jasho wa TZ , kuajili madairector kina Mwigulu waje kutengeneza video mbalimbali kama waliyoipeleka sasa sokoni ya "Lwakatale na Ludo" pia kuwanunua vijana waliokosa dira na kukata tamaa kina Mtela na Shonza ili iwatumie kuwasahaulisha watanzania hali ngumu ya maisha iliyopokwa sasa.

Hii yote ni katika kujaribu kujinasua na mkasi wa kushuka daraja la ligi kuu ya kisiasa hapo mwaka 2015. Wakajikuta wanarusha mawe gizani ambayo yameanza hata kuwarudia wao mfano UDINI,huku wakinyimwa na mtanzania jasiri wa kisiasa na kiboko ya mafisadi katibu wa CDM dk Slaa na kujikuta hawaoni wanaongea point mpaka wamtaje,lakini niwakumbushe msemo wa wahenga kwamba"UKIONA MTU MREFU KAZAMA UJUE MFUPI KESHA KUFA"

CHADEMA hatujawahi "KUSHINDWA,TULISHINDA,TUNASHINDA NA TUTASHINDA" CHADEAM haiwezi kufishwa na CCM kwani sio walioifanya iwepo hapo ilpo.
 
Kuna vitu mtu akiongea anaonekana ni fanatic kama sio lunatic...
Kama wewe kwenye mambo ya CCM, au hujajishtukia?

Daktari mzima unashinda humu, unatetea li system lililooza! Halafu unaona wenzako fanatics!!

Nyani haoni....
 
kama wewe kwenye mambo ya ccm, au hujajishtukia?

Daktari mzima unashinda humu, unatetea li system lililooza! Halafu unaona wenzako fanatics!!

Nyani haoni....

usishangae,ndg,watu wanaendesha maisha yao kwa mgongo wa ccm,hawa hawataki kusikia kitu cdm,si,,kinawatilia mchanga kwa wenye nchi,
 
Hahaha hahaha hahaha mapoliccm na ccm yako aka magamba aka wazee wa kuteka watu,kung'oa watu kucha, kuwatoboa macho na kuwatesa..hahaha hahaha ccm na mapoliccm na kilaza kova aka mzee wa joshua malundi hahaha kova ni kilaza kama kikwete!
 
Hahaha hahaha hahaha mapoliccm na ccm yako aka magamba aka wazee wa kuteka watu,kung'oa watu kucha, kuwatoboa macho na kuwatesa..hahaha hahaha ccm na mapoliccm na kilaza kova aka mzee wa joshua malundi hahaha kova ni kilaza kama kikwete!
 
Kuna vitu mtu akiongea anaonekana ni fanatic kama sio lunatic...

Mtu kama wewe na usomi wako wote wa SAUT unapost ujinga,,kisa umeanza kutokwa na kitambi hakika udongo utakaokufukia uatabadilika rangi


  • A%20S%20angel.gif


 
Kama wewe kwenye mambo ya CCM, au hujajishtukia?

Daktari mzima unashinda humu, unatetea li system lililooza! Halafu unaona wenzako fanatics!!

Nyani haoni....
mkuu huyu atakuwa anaumwa ugonjwa wa kujistukia,ndo mana kila post anahisi asipochangia hatalipwa

  • :smile-big:

 
Your right but... CDM lazima wawe na mikakati ya kukamata big fish wenye kauli kwa vyombo vya usalama! CDM lazima wafanye jitihada za ziada kuwavutia na kuwanasa wale nguli wa kigoda cha Mwalimu! on top of...Majimbo yajitahidi kuwavutia na kuwapata viongozi makini wenye kukubalika na Jamii... usiniulize kwanini...
 
Your right but... CDM lazima wawe na mikakati ya kukamata big fish wenye kauli kwa vyombo vya usalama! CDM lazima wafanye jitihada za ziada kuwavutia na kuwanasa wale nguli wa kigoda cha Mwalimu! on top of...Majimbo yajitahidi kuwavutia na kuwapata viongozi makini wenye kukubalika na Jamii... usiniulize kwanini...


well said mkuu bt the only problem of those good fathers is fear ,mkuu ni waoga sana kuonekana wapo karibu na upinzani na hata kuikosoa CCM wapo wapi kina Butiku,Kaduma na Warioba,only fear,fear mkuu bt I think there is a plan,hao ni wafuasi wetu wa kimyakimya


  • A%20S%2039.gif

 
Nahum akisoma atatetemeka. Atakuwa anaiona ICC ileee na babaake A.K.A dhaifu, fastjet, na sijui yupo wapi, unaweza ukakuta yupo N. Korea anajifunza kupaisha roket
 
Watuambie kwanini kuna zero 65% mwaka jana alafu watuambie ile miezi6 ya Bwana harusi wao P.M haijaisha? ..CDM 4life!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom