Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Wana Jamvi
Kwa muda mrefu nimekuwa katika mgogoro wa kimtizamo kuhusu mvutano kati ya CCM na CHADEMA. Kwetu kizazi kilicholelewa na CCM, imekuwa inatuwia vigumu kusema hadharani kuwa chama chetu kinaboronga. Tatizo kubwa kwetu lilikuwa ni ikiwa tukikubali kuwa CCM inaboronga, twende wapi maana vyama vingine vilikuwa havionyeshi unafuu wote.
Sasa uzalendo umetuishia, na tunaona wazi yafuatayo:
-CCM haiwezi tena kufufuka na kurejesha heshima yake
-CHADEMA kinaelekea kimejipanga vema katika jamii na sasa ni kimbilio hata la wana CCM
-Kazi ya CCM sasa inafanywa na Polisi na Mahakama
-Hata baadhi ya watendaji wa CCM wanapayuka payuka kama walivyokuwa wanapayuka wapinzani.
Naandaa utaratibu wa kutoka kwenye closet na kujiunga na CHADEMA.
Naomba mniunge mkono.
Kwa muda mrefu nimekuwa katika mgogoro wa kimtizamo kuhusu mvutano kati ya CCM na CHADEMA. Kwetu kizazi kilicholelewa na CCM, imekuwa inatuwia vigumu kusema hadharani kuwa chama chetu kinaboronga. Tatizo kubwa kwetu lilikuwa ni ikiwa tukikubali kuwa CCM inaboronga, twende wapi maana vyama vingine vilikuwa havionyeshi unafuu wote.
Sasa uzalendo umetuishia, na tunaona wazi yafuatayo:
-CCM haiwezi tena kufufuka na kurejesha heshima yake
-CHADEMA kinaelekea kimejipanga vema katika jamii na sasa ni kimbilio hata la wana CCM
-Kazi ya CCM sasa inafanywa na Polisi na Mahakama
-Hata baadhi ya watendaji wa CCM wanapayuka payuka kama walivyokuwa wanapayuka wapinzani.
Naandaa utaratibu wa kutoka kwenye closet na kujiunga na CHADEMA.
Naomba mniunge mkono.