Umelaghaika...
Umelaghaika...
umekurupuka rudia kufikilia ulichokiandika ,yupi ni muuzaji unga kati ya ccm na chadema ,rejea orodha ya majina ya wauza unga utapata jibu
yupi mhuni kati ya hawa anaye torosha wanyama na anayetoa siri za utoroshwajh huo .jfikirie kisha unijuze.
umekurupuka rudia kufikilia ulichokiandika ,yupi ni muuzaji unga kati ya ccm na chadema ,rejea orodha ya majina ya wauza unga utapata jibu
yupi mhuni kati ya hawa anaye torosha wanyama na anayetoa siri za utoroshwajh huo .jfikirie kisha unijuze.
Kiongozi,
...
Mkuu napoli ulipeleka ungaHuko wewe peke yako unayeishiwa uzalendo na CCM, kwa sasa ni ukweli usiopingika kuwa CHADEMA ndiyo inayogusa nyoyo za Watanzania wengi popote walipo.
Mfano juzi nilikuwa mjini Napoli, Italia ambao ni mji pekee nchini humo wenye tawi la CCM lakini wanachama wengi wa CCM hawataki tena kusikia ya CCM. Wamesema wazi kuwa wamechoshwa na CCM.
Ni jopu la uongozi wa tawi hili tu ndiyo labda wamebaki na mapenzi kwa chama tawala ambao hupatwa na kigugumizi wanapokutana na hoja za CHADEMA.
Kifupi CHADEMA ndiyo inayowavuta Watanzania wengi hapa ughaibuni na ndiyo inayoongelewa zaidi kwa hisia za kizalendo na mwamko wa kujiunga nayo. Watu wengi wamehamasika na CHADEMA.
Nasikitika kusema kuwa CCM haina watetezi.