Uwoya live, abarikiwe

Uwoya live, abarikiwe

Inaonekana ww ulikua unaishia kwenye ujanja wa kioo cha kichongeo. Tungesoma wote ningekua nakurushia ngumi!
Kuna njemba nilisoma nayo (sio mie lakini), ilikuwa inaweza kukupa rangi ya kufuli la mwanamke alilovaa kwa kuangalia kivuli chake tu. Kulaleki! hii njemba ilifeli la saba na hivi tunaongea inaugua kaswende.
 
Wewe uliyeleta hii mada unamaanisha huu Mlupo ubarikiwe kwa kipi! hembu fafanua sentensi yako.
 
Inaonekana ww ulikua unaishia kwenye ujanja wa kioo cha kichongeo. Tungesoma wote ningekua nakurushia ngumi!

Ile ya kioo sio mimi tu, hata mwalim wangu wa physics alikuwa na waifu na nyumba ndogo lakini still alikuwa anakuja ka kioo chake. Vioo ni janga la taifa aisee! uskute hata hawa mods wetu pia ni wazee wa vioo.
heri mie sijasema
 
sizitaki mbichi hizi,sungura akagumia
Naona nafanya kazi,bila faida kujua
Yakamtoka machozi, matunda akalilia
Matunda akalilia, sungura nakuambia

Aaah Wapi ameishabaki sura tu lakini huko ni Screpa tu kitu imeisha depreciate hadi -ve value....
 
Hahaha,mods wana vioo vya kisasa eh?inabidi nikavae skin tite ndo nirudi,kha! Ila kloro sasa uko form two unajua small house ya mwalimu? Na ww ulikua na small kibanda umizav
Ile ya kioo sio mimi tu, hata mwalim wangu wa physics alikuwa na waifu na nyumba ndogo lakini still alikuwa anakuja ka kioo chake. Vioo ni janga la taifa aisee! uskute hata hawa mods wetu pia ni wazee wa vioo.
heri mie sijasema
 
Tmia macho yako ku-ZOOM ( unafumba macho taratibu na utaona kila kitu) mie naona mpaka upara wa sambusa!!
 
Back
Top Bottom