Sasa bwegebwege kweli wewe inakuhusu nini akigoma kurudi kwa mumewe? Au unamtaka ndugu? thread zengine zinashusha hadhi ya JF inakuwa kama Zeutamu
Mtafute mwenyewe umwambie,usitusumbue kusoma vitu visivyo na msingi plzz!!!!
kama hataki kurudi kwa mumewe basi nenda wewe. post zingine
ha ha ha ha,sina mbavu mie!
makubwa
vipi tena Ama;mi nacheka tu comment za watu humu ndani,hasa ya mmoja hapo alomjibu mtoa hoja aende yeye basi!
Post kama hii inatija kweli kwa taifa! great sinker
vipi tena Ama;mi nacheka tu comment za watu humu ndani,hasa ya mmoja hapo alomjibu mtoa hoja aende yeye basi!
Yuko kwa Buzi moja kiongozi wa juu wa CCM anakula bata ,hawezi rudi kwa mumewe keshazoea kunyonga kuchinja kumemshinda
Huyu bibi esi nimesikia alikuja huku "KUREKODI MUVI" TUU? Imekuwaje? Utamu wa nyumbani umemzidia?
Jamani ndoa zina matatizo yake acha tu apumzike, mimi mwenyewe natamani ningekuwa na mahali pa kwenda ningeenda nikajichimbia huko angalau miezi miwili.
Nimelipenda jina lako Sware...