Mkuu achana na wanasaccos wanashida kichwani mwao!Mkuu hapa wewe ndio mwenye matatizo yakuelewa. Hivi ulielewa kuwa rais anamfuata kila mgonjwa anampa au?
dah.
Mkuu achana na wanasaccos wanashida kichwani mwao!Mkuu hapa wewe ndio mwenye matatizo yakuelewa. Hivi ulielewa kuwa rais anamfuata kila mgonjwa anampa au?
dah.
Poor explanation from a low mind.Hicho ni kinywaji chenye kutibu siyo lazima kikae pharmacy. Pili, noti ya nchi ina saini ya au gavana au Rais au vyovyote vile. Hiyo saini ina maana itatumika kwa noti zote halali. Siyo lazima kila noti ikitoka isainiwe. Vivyo hivyo kwa ruhusa ya Rais wa Madagascar kugawa hizo dawa ni dhahiri ofisi yake inatoa au kugawa. Siyo yeye kila atajaye ni lazima aende aonane naye.
Nimetumia mifano kukuleta katika uelewa wa Level yako.
Ukienda kwa wanakijiji kipindi cha baridi na unataka kugawa masweta kwa watoto wachanga kijijini usiwaambie nataka kugawa masweta kiasi cha tani kadhaa za ujazo hawatakuelewa! Bali waambie wanakijiji nitagawa masweta matatu matatu kwa kila mtoto aliye na atakayezaliwa kipindi hiki cha baridi. Hapo wakiangalia tatizo la baridi, wakiangalia idadi ya watoto wakilinganisha idadi ya mgao, hakika watakuelewa.
Wewe nimekufananisha na mwanakijiji na nimekupeleka angle hiyo ya uelewa unielewe!
Viva Magufuli!
Yamejibiwa nitaleta mrejesho.
P
Supermarket ya wapi na inaitwaje ?
Uelewa wako tu mdogo!! Sasa imefikaje hapo kwenye supermarket kama siyo kwa kibali cha Rais wao? Ukiwa na ubongo ulioathirika na saccos ni shida!
Uko sahihi kabisaaa!!!Lazima uwe mwendawazimu kufikiria kuwa Rais anafanya kazi ya kugawa dawa kwa wenye maduka.
Kwanza sijawahi kusikia kuwa dawa zinauzwa supermarket. Hii bila shaka haipo kwenye kundi la dawa ndiyo maana inauzwa kwenye maduka ya kawaida. Labda wameiweka kqenye kundi la vinywaji visivyo na kileo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ni kinywaji chenye kutibu siyo lazima kikae pharmacy. Pili, noti ya nchi ina saini ya au gavana au Rais au vyovyote vile. Hiyo saini ina maana itatumika kwa noti zote halali. Siyo lazima kila noti ikitoka isainiwe. Vivyo hivyo kwa ruhusa ya Rais wa Madagascar kugawa hizo dawa ni dhahiri ofisi yake inatoa au kugawa. Siyo yeye kila atajaye ni lazima aende aonane naye.
Nimetumia mifano kukuleta katika uelewa wa Level yako.
Ukienda kwa wanakijiji kipindi cha baridi na unataka kugawa masweta kwa watoto wachanga kijijini usiwaambie nataka kugawa masweta kiasi cha tani kadhaa za ujazo hawatakuelewa! Bali waambie wanakijiji nitagawa masweta matatu matatu kwa kila mtoto aliye na atakayezaliwa kipindi hiki cha baridi. Hapo wakiangalia tatizo la baridi, wakiangalia idadi ya watoto wakilinganisha idadi ya mgao, hakika watakuelewa.
Wewe nimekufananisha na mwanakijiji na nimekupeleka angle hiyo ya uelewa unielewe!
Viva Magufuli!
What is your point here you ass?Huu ujinga mnaoongea humu hadi unatia kinyaa. Nadhani kile kikombe cha babu kingetokea kipindi hiki cha waamini ushirikina, ingegaiwa kwa kibali cha rais.
Isingekuwa jambo la kuhadithiana kama rais ndiye anatoa ruhusa,,, kauli yake ililenga kuonyesha kuwa rais amekaa pharmacy anagawa dawa ya covid.Uelewa wako tu mdogo!! Sasa imefikaje hapo kwenye supermarket kama siyo kwa kibali cha Rais wao? Ukiwa na ubongo ulioathirika na saccos ni shida!
What is your point here you ass?
Eh vijimambo hivyoUkisikiliza Video Hii Waziri Kabudi Anasema '.Kule Madagascar Dawa Hii Anagawa Raisi Mwenyewe. Dawa Hii Haigaiwi Hovyo hovyo.' Lakini ukweli ni kwamba hadi kwenye Super market dawa hii inauzwa Siku Zote Za kuambiwa changanya na zako View attachment 1445926View attachment 1445926
Hujaelewa lugha ya mabeberu! Nimekuuliza kuwa point yako ilikuwa nini kwenye comment yako?Acha kutetea upuuzi dogo.
Uelewa wako tu mdogo unahitaji kutafuniwa kila kitu!Isingekuwa jambo la kuhadithiana kama rais ndiye anatoa ruhusa,,, kauli yake ililenga kuonyesha kuwa rais amekaa pharmacy anagawa dawa ya covid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaelewa lugha ya mabeberu! Nimekuuliza kuwa point yako ilikuwa nini kwenye comment yako?
Mimi ni baba yako siyo dogo!Yaani unaona umeuliza kwa lugha ya ajabu kiasi kwamba nimepotea njia, narudia tena, acha kutetea mambo ya kihanithi we dogo.
No nitayaweka uzi ule ule.Utayaanzishia uzi tuyangoje?
kesho ninakazi yakupima mapapaiyangu kabla sijayapeleka sokoniHiyo kauli ya Rais Mwenyewe ndio anagawa, ni kauli anayoweza kutoa mtu mzushi au mwenye matatizo ya akili.
No nitayaweka uzi ule ule.
P