Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Unataka uende kununua dawa?Supermarket ya wapi na inaitwaje ?
Unataka uende kununua dawa?Supermarket ya wapi na inaitwaje ?
Yale maswali yetu hujaleta mrejesho bwana Njaa!!Duh...!.
P
Kabudi akikutolea yale macho unaweza hisi anataka kukumeza kumbe ndio swag zake mzee wa KigogoUkisikiliza Video Hii Waziri Kabudi Anasema '.Kule Madagascar Dawa Hii Anagawa Raisi Mwenyewe. Dawa Hii Haigaiwi Hovyo hovyo.' Lakini ukweli ni kwamba hadi kwenye Super market dawa hii inauzwa Siku Zote Za kuambiwa changanya na zako View attachment 1445926View attachment 1445926
Hapo ni ikulu ya MadagascarUkisikiliza Video Hii Waziri Kabudi Anasema '.Kule Madagascar Dawa Hii Anagawa Raisi Mwenyewe. Dawa Hii Haigaiwi Hovyo hovyo.' Lakini ukweli ni kwamba hadi kwenye Super market dawa hii inauzwa Siku Zote Za kuambiwa changanya na zako View attachment 1445926View attachment 1445926
Na wewe unahainga huchoki kumfatilia kila mara uko kwenye uzi wakeWe jamaa unahangaika huchoki kila mda unaanzisha uzi
Tatizo huanziaga hapa,mtu anakua na asili ya ubishi,siku akipata mamlaka ndo anavimba hadi kutaka kujipasua,sa mtu ukiulizwa kitu kidogo kama hiki unakwama wapi kujibu.Unataka uende kununua dawa?
Haya!!!! Kwa Mzee RwajelinaTatizo huanziaga hapa,mtu anakua na asili ya ubishi,siku akipata mamlaka ndo anavimba hadi kutaka kujipasua,sa mtu ukiulizwa kitu kidogo kama hiki unakwama wapi kujibu.
😀😀😀 kaka tuchati
Vp ushapata kichupaWe jamaa unahangaika huchoki kila mda unaanzisha uzi
Kapate futari kwanza bwashee,halafu uje tujadili hili sualaHaya!!!! Kwa Mzee Rwajelina
We jamaa unahangaika huchoki kila mda unaanzisha uzi
Kila kitu hata cha hovyo mnatetea tuu, bado kinyesi chao mseme ni keki kwa jinsi mnavyo jitutumua.Mkuu hapa wewe ndio mwenye matatizo yakuelewa. Hivi ulielewa kuwa rais anamfuata kila mgonjwa anampa au?
dah.
Yamejibiwa nitaleta mrejesho.Yale maswali yetu hujaleta mrejesho bwana Njaa!!
Majaribio ya kuuzwa?Mkuu labda hata hapo ilipo ipo kwenye Majaribio bado
Anzisha na weweWe jamaa unahangaika huchoki kila mda unaanzisha uzi
Sida ni kuwa eti haipatikani ovyo ovyoSasa uongo wake upo wapi? Rais ndiyo kawagawia hao wenye maduka!
Hiyo kauli ya Rais Mwenyewe ndio anagawa, ni kauli anayoweza kutoa mtu mzushi au mwenye matatizo ya akili.Mkuu hapa wewe ndio mwenye matatizo yakuelewa. Hivi ulielewa kuwa rais anamfuata kila mgonjwa anampa au?
dah.
Uelewa wako tu mdogo!! Sasa imefikaje hapo kwenye supermarket kama siyo kwa kibali cha Rais wao? Ukiwa na ubongo ulioathirika na saccos ni shida!Ukisikiliza Video Hii Waziri Kabudi Anasema '.Kule Madagascar Dawa Hii Anagawa Raisi Mwenyewe. Dawa Hii Haigaiwi Hovyo hovyo.' Lakini ukweli ni kwamba hadi kwenye Super market dawa hii inauzwa Siku Zote Za kuambiwa changanya na zako View attachment 1445926View attachment 1445926