Naomba nitoa maneno machache hasa kwa wapotoshaji
1. Uwekezaji ni muhimu sana kwenye bandari yetu ya Dar na nyinginezo.
2. Mikataba yenye maslahi kwa taifa nayo ni muhimu sana kwa taifa letu.
Hivyo badala ya kulumbana na wananchi serikali ishirikiane na wadau na wale wanao lalamikia mkataba kutokuwa na maslahi. Pili wakimsema Samia wanasema Uraisi na sio Raisi pekee hivyo kusiwe na upotoshaji. Uraisi ni taasisi na sio mtu mmoja tu.
1. Uwekezaji ni muhimu sana kwenye bandari yetu ya Dar na nyinginezo.
2. Mikataba yenye maslahi kwa taifa nayo ni muhimu sana kwa taifa letu.
Hivyo badala ya kulumbana na wananchi serikali ishirikiane na wadau na wale wanao lalamikia mkataba kutokuwa na maslahi. Pili wakimsema Samia wanasema Uraisi na sio Raisi pekee hivyo kusiwe na upotoshaji. Uraisi ni taasisi na sio mtu mmoja tu.