chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Uwanja wa hadhi ya kimataifa, haujapata ugeni wowote wa kimataifa tangu Mzee wetu JPM afariki mwaka 2021. Hakuna watalii Wala tukio lolote la kimataifa.
Kwa nini ulijengwa kwa hadhi ya kimataifa na mataifa hayafiki hapo uwanjani?
Au walijengewa watu wa mataifa(wakristo watanielewa)
Kwa nini ulijengwa kwa hadhi ya kimataifa na mataifa hayafiki hapo uwanjani?
Au walijengewa watu wa mataifa(wakristo watanielewa)