Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake

Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.

Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)

Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.

Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Anaongoza kutokea Msoga.
 
Na ndege moja imeandikwa Zanzibar nyingine ya pili imeandikwa Tanzanite.

Awamu ya sita muungano huu ni pasu kwa pasu kwa kila hatua.

Hata teuzi sasa hivi akiteuliwa mmatumbi na mkojani lazima awepo.
Pasu kwa pasu Kati ya Tanzania bara na Tanzania visiwani haiwezekani
 
Watu wa kanda ya ziwa ndo kina nani?

Nyie ni wapumbavu tu na hamuwezi kufanya chochote zaidi ya kujijaza ujinga.

Eti magu kauliwa.

Mtu kaidharau covid imemuangusha mnakuja na dhahania zenu.

Kubalini tu kwamba si zamu yenu kutamba tena.
Una uhakika gani kama covid imemuua

Sababu hiyo covid ni upumbavu mtupu kwa ajili ya watu wajinga duniani na siyo ugonjwa
 
watu wa kagera hatuhusiki na andiko hili.tangu michango yetu iliwe hatuna hamu kabisa..hatuna hata stendi ila majirani zetu wa chato wana kila kitu.kahawa zetu mzee kikwete aliziacha zipo 1800 per kg ila sasa ni 1000 per kg...Sukuma gang pambaneni ki vyenu msijumlishe kanda nzima.YATIMA HADEKI
 
Hii akili ya Sukuma Gang kwa kila andiko ni kufilisika kimawazo na ni lugha chafu ya kiubaguzi. Mimi si Msukuma ila naamini usawa na udugu tulioujenga kwa miaka mingi. Jadili hoja acha kuhamisha mjadala kwa lugha zako mfilisi za ukabila .SHAME ON YOU

Umeandika sahihi kabisa kila unachoandika ni sukuma Gang ! Wasukuma wamekua sio watu tanzania?!
 
Hii akili ya Sukuma Gang kwa kila andiko ni kufilisika kimawazo na ni lugha chafu ya kiubaguzi. Mimi si Msukuma ila naamini usawa na udugu tulioujenga kwa miaka mingi. Jadili hoja acha kuhamisha mjadala kwa lugha zako mfilisi za ukabila .SHAME ON YOU
Kuna watu hawataki kujadili hoja. Huwa wanataka kutoa mpira golini kwa kuingiza viroja
 
Back
Top Bottom