Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
π π π π π π π π π
π π π π π π π π π
Sawa mkuu, wala hakuna tabu, just be happy and enjoy your life.kwani tofauti yako na huyo mdudu si maeneo ya kuishi tu!!!
Nacheka mwendakuzimu aka dikteta kuitwa HayatiUnachekacheka nini Sasa.
Sawa hatuna mungu, ila nyie mungu wenu kafa, sasa sisi ambao hatuna Mungu na nyie ambao mungu wenu kafa nani ana afadhali?
Aiseee nimecheka kama umeandika kitu hivi. Dah leo ni sikukuu yenu wenye MAGONJWA YA AKILI.Tunataka kanda ya ziwa mwanza, Tabora, shinyanga na simiyu Uhuru wetu, tutambulike kama nchi, tumechoka kuwa chini ya hawa mbwa kwanza sisi sio watanzania sisi ni sukuma country, tujitenge tu tuwachie maeneo mengine mjitawale...
We mwache ajichanganye JF yenyewe itazimwa milele. Nashauri mods wapige ban huyo kichaa.Utaishia kujifariji kwenye mitandao kama wenzio machadema ila kamwe huwezi thubutu hata kuongea popote zaidi ya humu na tukitaka kukutafuta tutakupata but ni vile hauna impacts tunakupoteszea.
La sivyo anzisha hata thread hapa ya kujitenga uone moto
2025 wanarudi Tena utawapenda ni Mungu ndiyo kawafanya wawe wengi na ni watawalaUmeandika sahihi kabisa kila unachoandika ni sukuma Gang ! Wasukuma wamekua sio watu tanzania?!
Wewe acha kelele anzisha thread ya kujitenga kama kutakucha salama kwako. Acha kujidanganya nyuma ya Keyboard, we unadhani hii JF inaendeshwa bila kufata sheria za nchi? Thubutu kuanzisha uzi afu uone mbwa wewe.Ila amini na weka akili, mkiendeleza itikadi zenu za kikanda nakuundermine watu wa kanda ya ziwa, IPO siku mpasuko mkubwa katika taifa hili utatokea, soon kanda ya ziwa itatambulika kama taifa huru....
Kwa Ubongo Uharo ulionao kamwe hutoweza kunielewa na ni vyema tu ukakaa Kimya au ukawapisha wale Brainy Members wa JF walionielewa waujadili (wajadili) sawa?
Wanaoleta ukanda ni watu waajabu sana...Sukuma gang wapi? Watu waliozoea kutumia ukabila na udini kuficha udhaifu wao ...Puuh I hate these people, God forbid ...Hawana hili wale lile...Punguza hasira shekh wangu muungano wa taifa hili chimbuko lake ni kanda ya ziwa kwa maana ya kiongozi shupavu Mwl JK Nyerere
kuweni wavumilivu tu kwenye hii vita ya TEAM BARA na TEAM PWANI
Kinachotakiwa ni akili na siyo mabavu, hivi unafahamu kwamba uchaguzi wa 2015 alipata kura asilimia ngapi ukilinganisha na watangulizi wake?Sukuma gang ni Kama mafukuriko huwezi yakwepa,ndiyo maana mtemi Hangaya kaenda Kanda ya ziwa Mara nyingi zaidi kuliko Kanda yoyote.Mtemi Hangaya anajua ukiweza kushawishi Kanda hii ushindi ni asubuhi.
Jiulize mkoa uliotoka Hangaya kafika Mara ngapi?
Watanzania n watu wa ajabu sna. Inshort as long hakujiandaaa kushika nafasi hyo then ni muhimu kua na mentor ambaye anamuamini kua ata masapport.Sio kila uvumi ni WA kutilia maamani,mengine ni upuuzi kwa hiyo unapotezea..
Hata hivyo hivyo JK ni mtu wa heshima na amefanya Kazi kubwa Tzn na ndio Mkuu wa Nchi aliyebaki kwa ushauri baada ya wengine kitangulia,hata Mwendazake alikuwa ana mconsul na hakuna tatizo hata Samia kuwa nyuma yake.
Mwisho kwani hujawahi sikia Obama yuko nyuma ya Biden? Tatizo liko wapi?