Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
Apeleke tu barua ya kujiuzuru. Maana huko ni sawa na kuihujumu serikali aliyomo.Tayari ameitwa Ikulu na Mkuu wa Kaya; lolote laweza kutokea' ngoja tusubilie
Reputation ya Magufuli itaongezeka na Muhongo atalinda heshima yake kama bado ipo.